-Kwanza hakikisha kadi yako ya kupigia kura umeishatafuta na kuiweka mahala ambapo utakumbuka kirahisi.
-Kutokana na uwezekano wa kuwepo foleni kubwa sana jiandae kwa kubeba maji ya kunywa mengi au soda na labda vitafunio ili njaa isikuadhiri kama wewe ni mtu wa makulajikulaji kila baada ya muda mfupi.
-Uwe makini mno ili kuhakikisha kura yako haiharibiki na unampigia kura yule ambaye unamuona atakuwa Rais/Mbunge na Diwani bora
-Usisahau kumpigia Rais Mtarajiwa Dr Slaa na Mgombea ubunge/udiwani. eace:
-Kutokana na uwezekano wa kuwepo foleni kubwa sana jiandae kwa kubeba maji ya kunywa mengi au soda na labda vitafunio ili njaa isikuadhiri kama wewe ni mtu wa makulajikulaji kila baada ya muda mfupi.
-Uwe makini mno ili kuhakikisha kura yako haiharibiki na unampigia kura yule ambaye unamuona atakuwa Rais/Mbunge na Diwani bora
-Usisahau kumpigia Rais Mtarajiwa Dr Slaa na Mgombea ubunge/udiwani. eace: