<br />Na hapa kwetu wangeleta hiyo kampeni.
hahaha,kwani na wa kwetu ni wahanga wa hii?
kenya ndo najua kuna kampeni kabambe ya billioni kadhaa za faranga. ukipeleka mume kutahiriwa unapewa kshs 100.
<br />
<br />
<br />Na hapa kwetu wangeleta hiyo kampeni.
<br />Waanze na Mkoa wa mara