PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
- Thread starter
- #21
Teh teh mama na mwana jamani mnakumbuka hata huko hadithi ya Adili na Nduguze mwaikumbuka nilikuwa siikosi na yule bibi mwenye sauti ya kutisha.
Mwakumbuka Mikingamooo??
Na mikingamo ndicho kipindi kilichokuwa chawaacha hoi wazeee wetu ile usiku shutuma wazi wazi, wazee wetu walikuwa na hali jojo.
Kipindi hicho (MIKINGAMO)kilikuwa hatari sana KWA mafisadi wa enzi hizo, in the name of "WAHUJUMU UCHUMI NA WALANGUZI" kam JF ilivyo kwasasa, au kama MWANAHALISI inavyowaumbua wala nchi!...
Utasikia "Mkuu ambaye jina lake linaanzia na "K", amehujumu mali ya kampuni.
tHANX ALOT MAN FOR this!