Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
hakulala nyumbani ndio maana anampa mkono
...Kwani hawakusalimiana walipoamka asubuhi au leo jamaa ameamkia mtaa wa saba??
Sura haimuruhusu kufanya hivyo!!
Utu uzima vikichanganyikana basi inakuwa tabu kwa mzee wawatu!!
Achanisha hiyo miguu nikwambie kitu!!!
mi mwenyewe naomba kila wakati mtu atokee kwa nyuma amshtue aachanishe miguu...tupofue mimacho...ha ha ha ha haaaaa hata mimi natamani kweli aachanishe hiyo miguu