Katika kuoa kuna kuoa kwa aina tatu
1 kijana anaona ana majukumu mengi ya kazi anaona anahitaji msaidizi km akute chakula kufuliwa nk
2 tamaa yaani wenzake wote wameoa anawafuata na pia tamaa ya kungonoka wanavosema waswahili
3 umri umefikia na anaweza kuitunza familia
sasa hapa umefuata ipi au utafuata ipi?????
asanteni
1 kijana anaona ana majukumu mengi ya kazi anaona anahitaji msaidizi km akute chakula kufuliwa nk
2 tamaa yaani wenzake wote wameoa anawafuata na pia tamaa ya kungonoka wanavosema waswahili
3 umri umefikia na anaweza kuitunza familia
sasa hapa umefuata ipi au utafuata ipi?????
asanteni