Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
Wapo waliopata wachumba na kuoana hapahapa JF, wapo wanaofanya biashara na kufanikiwa kupitia hapahapa JF, wapo wanaopata mawazo ya biashara na kijasiriamali.
Kuhusu elimu ndio usiseme, JF ni shule tosha. Marafiki pia wanapatikana kwa sana tu hapa mtandaoni, je wewe binafsi JF imekufanyia nini ambacho unaona ni kikubwa?
Kuhusu elimu ndio usiseme, JF ni shule tosha. Marafiki pia wanapatikana kwa sana tu hapa mtandaoni, je wewe binafsi JF imekufanyia nini ambacho unaona ni kikubwa?