Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
na najua wewe ni muhanga wa hili kweli si kweli?
Naomba mji...! (Ni Muhangaika kweli kweli)...!
na najua wewe ni muhanga wa hili kweli si kweli?
Katika sheria zenu muongeze small house awe anazo upstairs (alafu na ubinadamu kidogo) ukianguka anakuvumilia hadi utapo nyanyuka tena. lol
Habari ya siku Baba E?
yaan sana kabisa!! home ndio mpango mzima!!Umeona heeeeh. Ukileta vibweka home inakuwa soo
aisee hivi Asprin kwani mwezi wa rozari umeshaanza? mbona kama unasema kaitubio? haya ndahani njoo utoe mapoint hapa wewe unayaamini haya?
umbeya ni kipaji aisee...
Utajibeba. Ulivyoingilia ndoa ya watu ulitegemea nini? Ndo ujiandae hivyo mama, andika mirathi kabisa.
Wifi kumbe ukimsikia shemejio anaomgelea visabuninvya gesti hausi ulijua ndo saluni ama? Hebu soma msahafu vizuri. Dena Amsi atakuelewesha vingine manake yeye alijiunga na chma kabla yangu:wacko:
Katika sheria zenu muongeze small house awe anazo upstairs (alafu na ubinadamu kidogo) ukianguka anakuvumilia hadi utapo nyanyuka tena. lol
Habari ya siku Baba E?
"small house" akiweze kukuvumilia wakati ukiwa huna uwezo wa kwenda kwenye "Umoja Switch - ATM", basi huyo anastahili kuwa "mother house"...!
jamani leo ni j1-1 ila kiukweli kazi zimeisha mapemaaa kwa ofc sina cha kufanya nikaamua nijitupe jf nikanza MMU nimeona leo hakuna dili na sina topic ya kuitupamo huko nikaona niende siasani nikaona duh! hapa nanukia harufu ya kumtusi mtu sasa nifanyeje? nikaenda kwenye photos huko nikakutana na Boflo nikaona kaamua makusudi kunifupuishia wiki nikasema sasa ili niifupishe vyema basi nije chit chat hapa nipatemo umbea kidogo.
haya sasa shosti wangu na msiri wangu wa ukweli cacico njoo ukiwa na wake wenzio wote BADILI TABIA Yummy pamoja na dada yangu mkubwa AshaDii nipeni umbea jamani lol!
haya wadada wote wa jf nipenipo umbea mkiongozwa na King'asti, Kongosho, snowhite wakiwa na Kaunga nitupienipo umbea tafadhali ninahamu na umbea.
hivi nimesahau wanaume nao huwaga wanagossip sasa leo nataka Mr Rocky, Asprin KARIA Ndahani BAK @mpitwaga Bishanga na wanaume wote wa jf njooni leo mnipenipo umbea jamani.
chombezo: mwanamke umbea kusutwa sunna atii.
Sasa usingewaita hao wababa manake watatuzidi umbea hapa. Mi naogopa kusema kitu changu, ila kiukwelileo nina mood ya uchonganishi na nna bastola ya kuazima hapa nilipewa na Bashe. Ntarudi kagiza kakiingia
Hello Chit Chat
ni mara chache sana kupost jukwaa hili...mara nyingi huwa ni mchangiaji au msomaji wa masuala mbalimbali ya kisiasa yanayoendelea kutokea kila siku nchi hii..........
Upepo wa kisiasa umeendelea kuibadili nchi yetu kila kukicha....si jambo la ajabu kukuta watu wamekaa tena vijijini wakijadili mambo mbalimbali ya kisiasa....
nakipongeza pia chama changu cha Chadema kwa kuendelea kuwaamsha watanzania walio wengi juu ya mambo muhimu yanayowahusu na wanachopaswa kukifanya...binafsi nimeamshwa zamani sana.........
sina shaka na uwezo wa wana CDM katika kuwamsha watanzania walio wengi ........katika kujazia kile kilichozungumzwa na bwana Sita leo.........naomba pia safu nzima ya wana CDM kila mmoja kw anafasi yake ajitazame upya status yake maritually..........viongozi (wa CDM) wengi wao wamekua na status zinazofanana na sio sifa nzuri kwa kiongozi hasa wa kiafrika.kama kweli tunatetea tamaduni zetu za Kitanzania tulizorithishwa na babu zetu basi tuliangalie na ilo,na kama kweli tunajiandaa kuchukua dola ya nchi hii..tujipange safu hiyo....................huu ni mtazamo wangu na wala siwakilishi mawazo ya mtu mwingine...viva CDM
Unajua kama Erickb52 alishindwa kumkagua mtu? alivyofika tu eneo la kazi kifaa kikagoma amesukumwaaaaaaaaaaa wee but where
jamani leo ni j1-1 ila kiukweli kazi zimeisha mapemaaa kwa ofc sina cha kufanya nikaamua nijitupe jf nikanza MMU nimeona leo hakuna dili na sina topic ya kuitupamo huko nikaona niende siasani nikaona duh! hapa nanukia harufu ya kumtusi mtu sasa nifanyeje? nikaenda kwenye photos huko nikakutana na Boflo nikaona kaamua makusudi kunifupuishia wiki nikasema sasa ili niifupishe vyema basi nije chit chat hapa nipatemo umbea kidogo.
haya sasa shosti wangu na msiri wangu wa ukweli cacico njoo ukiwa na wake wenzio wote BADILI TABIA Yummy pamoja na dada yangu mkubwa AshaDii nipeni umbea jamani lol!
haya wadada wote wa jf nipenipo umbea mkiongozwa na King'asti, Kongosho, snowhite wakiwa na Kaunga nitupienipo umbea tafadhali ninahamu na umbea.
hivi nimesahau wanaume nao huwaga wanagossip sasa leo nataka Mr Rocky, Asprin KARIA Ndahani BAK @mpitwaga Bishanga na wanaume wote wa jf njooni leo mnipenipo umbea jamani.
chombezo: mwanamke umbea kusutwa sunna atii.
Halafu kule umenambia nikutongoze tena nimekutongoza afu umenipotezea. Kwanini lakini?bila shaka nizazifikisha hubby, tena 2015 ugombee urais, najiandaa kuwa first lady.....watanikomajeee