umbea...............

Kuna adhabu mbalimbali tunazowapa wanachama wetu. Ukifumaniwa UNASIMAMISHWA uanachama kwa miezi sita! Ni Kosa la JINAI kwa infideletaz na infideleez kufumaniwa, ukifumaniwa maana yake hujafuata katiba na SHERIA zetu, kitendo ambacho HAKIKUBALIKI kisheria.


Dah... nimeahirisha. Sheria inaegemea kutoka nje, na mimi nje siwezi kutoka... Hapo tu nakuwa nisafeli. Niwatakie tu kazi njema... lol
 
nani huyo anazipata bila kutoa jasho? Mi nazifahidi sana teh teh teh...ntakuja kuogelea utaona, teh teh teh

wengi tu aisee! tunaoumia ni wengine wanaofaidi ni wengine. karibu sasa hivi niko gado sana tu.
 
Dah... nimeahirisha. Sheria inaegemea kutoka nje, na mimi nje siwezi kutoka... Hapo tu nakuwa nisafeli. Niwatakie tu kazi njema... lol
Kitu kimoja ambacho watu wengi hawakijui ni kuwa KAMA HUFANYI INFIDELITY UJUE MKEO/MMEO NDIO KAMANDA WA INFIDELITY! Utafiti wa chama chetu umethibitisha hilo. Kwa hiyo shem we piga infidelity ili mmeo awe safe.... Believe me you.
 
Dah... nimeahirisha. Sheria inaegemea kutoka nje, na mimi nje siwezi kutoka... Hapo tu nakuwa nisafeli. Niwatakie tu kazi njema... lol

hivi mke mwenza hujui siku hizi wamejihalalishia kutoka nje? yaaani wanadai ni inevitable.............
 
Nasikia toka Lizzy apotee hapa jamvini Bishanga kawa mpole na ndio hasa nia ya kutulia na mmoja ambae ni The secretary. Nimepata fununu pia kuwa Cantalisia, Mwali, @Obsesed, Smile na Okya walifumwa wakijadili jinsi gani wanaweza kujisajili kikundi cha wadada wa mjini kwa madai kuwa wanataka wawe wana run lile city la Jamii. Hata hivo hilo lengo lao liliingia dosari kwa sababu hawakuwashirikisha dada zao wakubwa kama Zion Daughter, Roulette, FirstLady1, Chauro, WiseLady, Preta, blacki womani BelindaJacob na Keren_Happuch.

Nasikia chama kuu MMU cha Infidel kinakufa kiutendaji baada ya Kaizer kuonekana anaenda kinyume na sheria mama za chama. Hio imefanya Darling shem Asprin akiongozwa na @RR, waite kikao cha dharura cha wanachama wachache tu; yaani Kimey, TIMING, Dreamliner, Baba_Enock, Fidel80, Teamo, The Finest, The Boss, klorokwini, Memo, Bigirita, kwa ajili ya hatma ya hicho chama.

Pia toka chama cha wabeba ma box kisajiliwe na Nyani Ngabu hapa jf nimepata tetesi kuwa kimepata wanachama wengi sana (atae hakiki hizi habari nitashukuru sana), wakiwemo jmushi1, BAK, Kiranga, Steve Dii, Mr Rocky majina mengine sijasikia... Ila Mzee Dark City hata hiyana atanipatia tu. lol

Nilitaka kusahau, soon kwa yeyote mwenye sherehe inayohitaji mapambo na maposhi ya cake afrodenzi kafungua kampuni.

I don't need any syndication or vindication,
I move like a one man nation with positive vibrations
In the right direction
I send calibrations to rip the fabric of gravitation
I plant the seed for positive mutation with my musical notations
I talk high, I write low and all in between
'Til the blind and the mean could see what I mean
Call me sire, JF messiah, high like the Himalayas
I eat electricity like a Prius, and breathe fire
I give you laws like a Hammurabi, stricter than Wahabi
I bring queens stateside, like I'm Kentucky Derby
I don't float like a butterfly, or sting like a bee
I annihilate and fry, all flings by wannabees
Do you want more? I've got more in store
Styles new like Desalegn designs,step close you get fined
Old like Zsa-Zsa Gabor, to make you "ha ha,I'm bored"
Or bi Kidude, watch how I do this like a Buddhist
Monk you mocks, flow cool like Titicaca
With my Orinoco loco flows, call me kaka
I spit Farsi like Malagarasi, try surpass me
Deeper than the Marianna Trench, hasi!
Bring Burundi Fugees to Rufiji,
And make them sing Didi like Diddy
Do you want more? I've got more in store
Palindromic like a god dog, astronomic
I keep you gassy, I'm the chef, mad dog, gastronomic
Super cat, with super facts
The rest of them raas klaat, don't know how to act
Cut that brick and build that palace, Mbezi to Dallas
And put that cush in the chalice, chant down the malice
I'm serious, bright like Sirius
More murderous lyrically Assad, Syria
I make you pot in your chair, like Pol Pot's Kampuchea
Wannabees and impostors, usurpers, beware
Do you want more? I've got more in store
I bomb like Baidoa is backdoor to your show
Tatter your vows and hijack your slow flow
Label you cavalier, you funny Tanzanian
I'm outta here like a rare souvenir
I put it in, Vladimir
You Pussy Riot, fired
It's Kiranga from Manga Komamanga
Borderline crazy like Namanga
Bring you pleasure like Ananga Ranga
Or Kama Sutra, makes them wet like Brahmaputra
Call me Dr, like Gupta
Do you want more? I've got more in store
 
Kitu kimoja ambacho watu wengi hawakijui ni kuwa KAMA HUFANYI INFIDELITY UJUE MKEO/MMEO NDIO KAMANDA WA INFIDELITY! Utafiti wa chama chetu umethibitisha hilo. Kwa hiyo shem we piga infidelity ili mmeo awe safe.... Believe me you.

mke mwenza huyu ni mfariji mtaabishaji kamwe usimsikilize...............wala tusi mvunjie Kaizer wetu heshima.
 
Last edited by a moderator:
King'asti mwenzio miye ngumi mkononi ujue haya huyo buzi unakotaka kumpeleka wifiyo ili tufe sote kwa maradhi ya kisasa? mwanangu Ronn M utamlea wewe?

Utajibeba. Ulivyoingilia ndoa ya watu ulitegemea nini? Ndo ujiandae hivyo mama, andika mirathi kabisa.

hahaha! wifi kwani ukiwa katika chama lazima uwe na wa pembeni? kama ni hivo hapana, kakako bado ananiridhisha...:redface:

Wifi kumbe ukimsikia shemejio anaomgelea visabuninvya gesti hausi ulijua ndo saluni ama? Hebu soma msahafu vizuri. Dena Amsi atakuelewesha vingine manake yeye alijiunga na chma kabla yangu:wacko:
 
Last edited by a moderator:
halafu umeongelea kuhusu kukagua underwear ukasahau kaguzi wa vibukta............
Inavyosemekana idadi kubwa ya watu wana mtu wampendaye wanapofanyia kazi. Na ukitaka umle demu ambaye ni mke wa mtu au demu wa mtu, kama unafanya naye kazi wewe msikilize tu kila atakacholalamika kwako kuhusu uhusiano wake. Usimbishie wala usimkosoe wala kumpa ushauri. Kubaliana naye kila kitu.

Mwisho wa siku atajenga emotional attachment kwako na utamla kama unalia vile. Na ndio maana cases nyingi za infidelity hutokea makazini kwa sababu watu wana spend muda mwingi sana pamoja hadi kuruhusu maongezi ambayo ni ya ziada.

Infidelity is inevitable. I know it is sad but it's the cold hard truth.
 
Inavyosemekana idadi kubwa ya watu wana mtu wampendaye wanapofanyia kazi. Na ukitaka umle demu ambaye ni mke wa mtu au demu wa mtu, kama unafanya naye kazi wewe msikilize tu kila atakacholalamika kwako kuhusu uhusiano wake. Usimbishie wala usimkosoe wala kumpa ushauri. Kubaliana naye kila kitu.

Mwisho wa siku atajenga emotional attachment kwako na utamla kama unalia vile. Na ndio maana cases nyingi za infidelity hutokea makazini kwa sababu watu wana spend muda mwingi sana pamoja hadi kuruhusu maongezi ambayo ni ya ziada.

Infidelity is inevitable. I know it is sad but it's the cold hard truth.

hivi kuna makuli wadada etiii? just to be curious
 

Similar Discussions

12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom