Dr Lizzy Platinum Member May 25, 2009 30,807 59,289 Feb 1, 2012 Thread starter #101 Musimo Jr said: Hahahaa basi na c uhusiano wetu uliisha tulipomaliza la 7 hata cjui yuko wapi ila hope shez stil in Dar Click to expand... Inabidi mtafutane mcheke mlivyokua watundu.
Musimo Jr said: Hahahaa basi na c uhusiano wetu uliisha tulipomaliza la 7 hata cjui yuko wapi ila hope shez stil in Dar Click to expand... Inabidi mtafutane mcheke mlivyokua watundu.
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,162 Feb 1, 2012 #102 nimewahi kusuta!!! Nilikuwa darasa la nne. Huyo dada alikuwa mbabe wa darasa wakati nipo darasa la tatu, nilipofika la nne nikaamua liwalo na liwe. Nikamface kumsuta aache tabia yake, loh nikamtishia kumpiga akanikimbia(laiti kama angejua mie sikuwa na nguvu ulikuwa mkwara tu) asingekimbia hahahahaa toka siku ile tukawa twaheshimiana. Ila nashukuru issue haikufika kwa walimu!!!!
nimewahi kusuta!!! Nilikuwa darasa la nne. Huyo dada alikuwa mbabe wa darasa wakati nipo darasa la tatu, nilipofika la nne nikaamua liwalo na liwe. Nikamface kumsuta aache tabia yake, loh nikamtishia kumpiga akanikimbia(laiti kama angejua mie sikuwa na nguvu ulikuwa mkwara tu) asingekimbia hahahahaa toka siku ile tukawa twaheshimiana. Ila nashukuru issue haikufika kwa walimu!!!!
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 Feb 1, 2012 #103 @badili tabia mie nilikuwa mbabe sana nilikuwa kama boxer fulani simaanishi boxer nguo namaanisha kama Tyson
@badili tabia mie nilikuwa mbabe sana nilikuwa kama boxer fulani simaanishi boxer nguo namaanisha kama Tyson
EJM_ JF-Expert Member Jul 8, 2011 3,836 2,091 Feb 1, 2012 #104 Lizzy said: Inabidi mtafutane mcheke mlivyokua watundu. Click to expand... Dah kawa sista du na mi nna mapoz so hatuwivi sana cku hz
Lizzy said: Inabidi mtafutane mcheke mlivyokua watundu. Click to expand... Dah kawa sista du na mi nna mapoz so hatuwivi sana cku hz