Umbea. . .

nimewahi kusuta!!!

Nilikuwa darasa la nne.
Huyo dada alikuwa mbabe wa darasa wakati nipo darasa la tatu, nilipofika la nne nikaamua liwalo na liwe.

Nikamface kumsuta aache tabia yake, loh nikamtishia kumpiga akanikimbia(laiti kama angejua mie sikuwa na nguvu ulikuwa mkwara tu) asingekimbia

hahahahaa toka siku ile tukawa twaheshimiana.
Ila nashukuru issue haikufika kwa walimu!!!!
 
@badili tabia
mie nilikuwa mbabe sana
nilikuwa kama boxer fulani
simaanishi boxer nguo
namaanisha kama Tyson
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom