SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
kwani mama yako si ni mke wa baba yako? Au dada yako si anaweza kuwa mke wa shemeji yako? So tukisema wanawake wanaleta umasikini,hawaaminiki etc tunawezaje kuwaacha hawa nje? Actually, mleta mada mwenyewe amekubali kuwa anazungumzia wanawake wote ikiwa ni pamoja na mama na dada zake(unaweza kumsoma tena hapo juu).nadhani mada hii km nimeielewa vema inawalenga zaidi wanawake ambao ni wake/ wenye mahusiano ya mapenzi na wanaume na si dada, mama wala shangazi....