Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Duuu,
Nimekuwa nikiimba kuwa Sikonge kuna umasikini wa kutisha ila hakuna anayeweza kujua ni wa kiasi gani. Ili kuonyesha hali hiyo, natuma hii link muone hizo picha:-
Album * Moravian Board of World Mission
Ukiona hii kitu hadi unashindwa kuamini kuwa Tanzania kuna umasikini wa aina hiyo. Halafu Wazenji wanasema Tanganyika tunawaibia. Wengine wanasema kuwa tulipie chuo kikuu. Hebu waambie hao watu walipe hiyo dola 20. Jamani msione Dar na kufikiri hiyo ndiyo Tanzania. Nendeni wenyewe mkaone hali halisi huko ambako hata shetani hataki kufika, maana kashaweka giza la kutosha.
Haya sasa, kwa wenye nazo au ukiweza muonyesha mtu huko, mwambie aje a-adopt kijiji kimoja na kukitunza maana wenye nchi, yes wenye nchi huwa wanakuja kuwaona watu wao kwenye uchaguzi tu.
Hayo majengo marefu mtakayoona si Magorofa, ila majumba ya kukaushia tumbaku. Tumbaku inamaliza watu na misitu. Kwenye manunuzi watu wanaibiwa na watu hawana jinsi nyingine...
Mods, hii baadaye unaweza ichanganya na ile ya kijana anayejenga shule Tanzania kwa kukusanya michango......
Nimekuwa nikiimba kuwa Sikonge kuna umasikini wa kutisha ila hakuna anayeweza kujua ni wa kiasi gani. Ili kuonyesha hali hiyo, natuma hii link muone hizo picha:-
Album * Moravian Board of World Mission
Ukiona hii kitu hadi unashindwa kuamini kuwa Tanzania kuna umasikini wa aina hiyo. Halafu Wazenji wanasema Tanganyika tunawaibia. Wengine wanasema kuwa tulipie chuo kikuu. Hebu waambie hao watu walipe hiyo dola 20. Jamani msione Dar na kufikiri hiyo ndiyo Tanzania. Nendeni wenyewe mkaone hali halisi huko ambako hata shetani hataki kufika, maana kashaweka giza la kutosha.
Haya sasa, kwa wenye nazo au ukiweza muonyesha mtu huko, mwambie aje a-adopt kijiji kimoja na kukitunza maana wenye nchi, yes wenye nchi huwa wanakuja kuwaona watu wao kwenye uchaguzi tu.
Hayo majengo marefu mtakayoona si Magorofa, ila majumba ya kukaushia tumbaku. Tumbaku inamaliza watu na misitu. Kwenye manunuzi watu wanaibiwa na watu hawana jinsi nyingine...
Mods, hii baadaye unaweza ichanganya na ile ya kijana anayejenga shule Tanzania kwa kukusanya michango......