Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
jamani........................... tuacheni sympathy za kijinga,............................. hivi hapo chini kwenye bold, huo si ndio uchangu???...................... tena uchangu wa kijinga wa bila hata kutumia kinga!!.......................... na sitashangaa kusikia hata ngoam anayo........................... sasa watoto wanateseka bure kwa sababu ya umalaya wa mama yao................... khaaa.................... amenikera sana huyu mama........................... ningekuwa na nafasi, ningemcharaza hata bakora ................
hebu jisomeeni wenyewe hiyo habari .................................. mi nimekereka sana........................
Mwalimu ageuka ombaomba Dar es Salaam
MWALIMU wa shule ya msingi aliyepata kufundisha kwa miaka 19 katika shule kadhaa za mikoa ya Pwani na Dar es Salaam, Saada Kingombe amegeuka ombaomba, chini ya mti na watoto wake
sita huku akitegemea fadhila za wasamaria.
Kati ya watoto hao, mmoja ni mchanga, akiwa amezaliwa Jumapili ya Januari mosi mwaka huu.
Ana umri wa wiki mbili. Saada ambaye ana asili ya Mkoa wa Kigoma, akizungumza na gazeti hili juzi, alisema kiini cha hayo ni matatizo kazini kwake hata kumfanya awe katika mazingira aliyonayo sasa.
Nilijikuta napoteza ajira yangu ya ualimu baada ya kufiwa na mama yangu, ikabidi niende
Kigoma, lakini nilichelewa kurudi kazini nikajikuta nafukuzwa kazi, hata sijui ni wizara au nani, basi tu ndiyo hivyo kazi yangu ikaishia hapo, alisema mama huyo mwenye jumla ya watoto wanane.
Anakumbuka wakati anapata matatizo kazini, tayari alikuwa na watoto wawili ambao kwa sasa
wamechukuliwa na ndugu wa mume aliyekuwa akiishi naye ambaye kwa sasa ni marehemu.
Watoto wengine sita aliwapata akiwa katika harakati za kujikwamua kimaisha, lakini kwa bahati
mbaya wanaume aliokuwa na uhusiano nao kwa nyakati tofauti, waliishia kumzalisha na
kumtelekeza.
Hata hivyo, Saada mwenye uwezo mkubwa wa kujieleza, huku akisisitiza ana akili timamu, alisema anawakumbuka wanaume wote aliozaa nao.
Aliwataja kuwa wanatoka mataifa sita tofauti, wakiwamo Watanzania, Mkenya, Mzambia,
Mkongo, Mwafrika Kusini na Mgiriki.
source: HabariLeo | Mwalimu ageuka ombaomba Dar es Salaam
hebu jisomeeni wenyewe hiyo habari .................................. mi nimekereka sana........................
Mwalimu ageuka ombaomba Dar es Salaam
MWALIMU wa shule ya msingi aliyepata kufundisha kwa miaka 19 katika shule kadhaa za mikoa ya Pwani na Dar es Salaam, Saada Kingombe amegeuka ombaomba, chini ya mti na watoto wake
sita huku akitegemea fadhila za wasamaria.
Kati ya watoto hao, mmoja ni mchanga, akiwa amezaliwa Jumapili ya Januari mosi mwaka huu.
Ana umri wa wiki mbili. Saada ambaye ana asili ya Mkoa wa Kigoma, akizungumza na gazeti hili juzi, alisema kiini cha hayo ni matatizo kazini kwake hata kumfanya awe katika mazingira aliyonayo sasa.
Nilijikuta napoteza ajira yangu ya ualimu baada ya kufiwa na mama yangu, ikabidi niende
Kigoma, lakini nilichelewa kurudi kazini nikajikuta nafukuzwa kazi, hata sijui ni wizara au nani, basi tu ndiyo hivyo kazi yangu ikaishia hapo, alisema mama huyo mwenye jumla ya watoto wanane.
Anakumbuka wakati anapata matatizo kazini, tayari alikuwa na watoto wawili ambao kwa sasa
wamechukuliwa na ndugu wa mume aliyekuwa akiishi naye ambaye kwa sasa ni marehemu.
Watoto wengine sita aliwapata akiwa katika harakati za kujikwamua kimaisha, lakini kwa bahati
mbaya wanaume aliokuwa na uhusiano nao kwa nyakati tofauti, waliishia kumzalisha na
kumtelekeza.
Hata hivyo, Saada mwenye uwezo mkubwa wa kujieleza, huku akisisitiza ana akili timamu, alisema anawakumbuka wanaume wote aliozaa nao.
Aliwataja kuwa wanatoka mataifa sita tofauti, wakiwamo Watanzania, Mkenya, Mzambia,
Mkongo, Mwafrika Kusini na Mgiriki.
source: HabariLeo | Mwalimu ageuka ombaomba Dar es Salaam