Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
jamani nataka tuangalie tofauti kati ya "umalaya" na "ukahaba"
UMALAYA: ni ile hali ya mtu kutaka kuwa na mahusiano ya kimapenzi na zaidi ya mmoja, na akifanya ivyo yeye huwa anajickia raha, au kubadili badili kwa muda mfupi, na pia hawezi kukaa muda mrefu bila kutamani kufanya tendo la ndoa.
UKAHABA: huyu yeye huwa anajua kabsa kwamba anafanya kama biashara njia ya kupata pesa, hata kama hakuwa tayari kufanya,lkn akitokea m2 ana pesa yupo tayari. na hawa huwa hawatongozwi ww unasema tu kama unavyosema kitu dukani basi. na hawa ukiwa nae leo au muda huu mkitoka hapo hamjuani na anaweza akaenda na mwngne na ww unaona.
USHAURI: yote hayo yanaongozwa na roho za kipepo, USITHUBUTU KTK JINA LA YESU KRISTO, Kama Unatatzo Hapo Naomba Ni Pm
UMALAYA: ni ile hali ya mtu kutaka kuwa na mahusiano ya kimapenzi na zaidi ya mmoja, na akifanya ivyo yeye huwa anajickia raha, au kubadili badili kwa muda mfupi, na pia hawezi kukaa muda mrefu bila kutamani kufanya tendo la ndoa.
UKAHABA: huyu yeye huwa anajua kabsa kwamba anafanya kama biashara njia ya kupata pesa, hata kama hakuwa tayari kufanya,lkn akitokea m2 ana pesa yupo tayari. na hawa huwa hawatongozwi ww unasema tu kama unavyosema kitu dukani basi. na hawa ukiwa nae leo au muda huu mkitoka hapo hamjuani na anaweza akaenda na mwngne na ww unaona.
USHAURI: yote hayo yanaongozwa na roho za kipepo, USITHUBUTU KTK JINA LA YESU KRISTO, Kama Unatatzo Hapo Naomba Ni Pm