Jamani hiyo ni fashion, wengine wanaonesha kufuli kwa juu mpaka inavyokatika na kuingia kwenye pachupachu na wengine wanaonesha kama huyo dada, anakwambia mimi ni msafi, naweka kitu cheupe na kinabaki cheupe! Hongera sana dada, nimekukubali kwa unadhifu wako, wanawake wengine hawathubutu kuvaa chupi nyeupe namna hiyo na ikatoka swaaafi, wanajijuwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.