uyo jamaa wa kwanza mzeee, aliye choka, aliwahi kupigwa ngumi nyingi sana za uso na matumla mkubwa hadi nilimwonea huruma, ni sugu huyo jamaa, yaani alipigwa nyingi lakini ni mvumilivi sana wa kupigwa.
Ivi ni kwanini kila mmoja ameinua mikono kama ile picha ya konyagi? kuna ulazima gani au ni kuiga waanzilishi wa ngumi?
Kwani usipoinua mikono na kukaza mwili kutaathiri vipi uzito?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.