me nauliza kabla ya kanumba huyo lulu alikua na wangapi?na hata alipokua nae alikua peke yake?binafsi nasema kama lulu angekataa kanumba angemlazimisha?mara ngapi hako kabinti kametolewa kwenye vyombo vya habari na mambo ya ajabu anabu?mi cdhani kama marehem anastahili kulaumiwa et mzinzi ama amekaharibu hako katoto.nadhani wa kulaumiwa ni wazazi wa lulu kwa kutokumlea mtoto wao ktk maadili yanayofaa.mtoto aliyelelewa ktk misingi inayofaa hawez kupatwa na kashfa chafu kama alizokua nazo huyo binti.me naona mkuu ucmuhukumu marehemu kua ni mzinzi cjui nini ilhali ameshakwenda kwa hakimu wa haki,2mwachie Mungu amuhukumu.
pokea LIKE ya nguvu mdau,unajua watu wanamlaumu tu kanumba bila kufikiria upande wa huyu dogo.mtoto kaanza mambo ya kikubwa mapema anategemea kina kanumba wangemwacha?mtoto ana maskendo kibao kuna kipindi inasemekana alikuwa attacked na mama mmoja akajeruhiwa na viwembe kisa anatembea na mume wa huyo mama.sijui mnafikiria nn,alaumu wazazi wake na lulu mwenyewe kwa kukimbilia mambo ya kikubwa kabla ya umri wake.