Umaarufu wa Kanumba unanitia shaka !

Feb 16, 2012
27
13
NAPATA SHIDA KUUKUBALI UMAARUFU WA KANUMBA

Napata shida moyoni kumkubali Kanumba kama mtu muungwana na aliye stahili heshima aliyo pewa ya kuzikwa namaelfu ya watu na tena viongozi wetu wa kitaifa. Nataka kujipambanua mapemahapa kuwa sina shida na mtu yeyote Yule maarufu haswa kama umaarufu wake umetokana nanjia sahihi zinazo weza kuigwa na jamii ya watu walio staarabika.

Ni rahisi watu wengi kufuata mkumbo nakuanza kumsifia mtu maarufu haswa hapa kwetu Tanzaniabila ya kufuatilia umaarufu huo kaupatapataje! Na kama vile ada, mtu yeyotemaarufu anapo fariki dunia, nyuma yake, kuna watu lukuki wanaobaki wakiusifiaumaarufu huo.

Steven Kanumba, msanii wa filamu aliyefariki dunia zaidi ya wiki moja sasa, ni kweli ime thibitika kuwa alikuwa nimtu maarufu sana hapa Tanzania na hata nje ya Tanzania; umati wa watu waliiojitokeza kumzika, ukubwa wa habari zale katika vyombo vyote vya habari, salamu za rambirambi toka serikalini na hataraisi wa nchi kufika nyumbani kwa Kanumba Sinza ni ishara tosha kuwa mtu huyualikuwa ni mtu maarufu.

Binafsi ninapata shida na aina ya umaarufualio jipatia Kanumba; Mimi ni mmoja wa watanzania ninaye kerwa na aina yaumaarufu kama huo. Kwanza kabisa napenda ieleweke kuwa Kanumba alikuwa ni mzinzi maarufu naaliye waharibu watoto wadogo kwa kuwadanganya na fedha au ndoto za kuwa maarufukwa kupitia mlango alio waandalia yeye mwenyewe wa filamu.

Ni kwa sababu ya uganzi tulio naowatanzania ndio maana hadi sasa, tunabaki tukimlilia mtu huyo, mtu ambayealitakiwa awe gerezani miaka zaidi ya mitano iliyopita. Ni kweli kabisa Kanumbaalistahili kushitakiwa mapema sana kwa kosa la kumharibia maisha mtoto mdogo mwenye miaka kumi na hatakuwa na mahusiano naye kimwili yaanikumbaka Elizabeth maarufu kama Lulu. Mtu wa namna hii kwasheria zetu hapa Tanzania alistahili kifungo cha miaka sii chini ya thelathini gerezani

Wapo watu wanao hoji umri wa Elizabeth leo,hii ni aibu kwetu, tulitakiwa kuhoji umri wake miaka zaidi ya mitano iliyo pitawakati Kanumba akimtumia kwa faida yake na pia kumharibia maisha yake.

Kwa watetezi wote wa haki za watoto na hakiza binadamu hapa Tanzania ni aibu kubwa kwetu kwamba tulichelewa kiasi hichokuona jambo hili na leo hii badala ya Kanumba kushitakiwa anaye shitakiwa nimtoto Lulu kwa maelezo kwamba Lulu alikuwa mpenzi wa Kanumba na ndiye aliyemuua katika ugomvi unao tajwa chanzo chake kama wivu wa kimapenzi, ni linitaifa letu tulihidhinisha mapenzi ya jinsi hii?

Sitaki kumtetea Lulu kwa kosa la kuua kamakweli amehusika kuua; lakini napenda kuweka bayana hapa kwamba Lulu alitakiwa kutetewa kabla ya tukiohili kutokea, na pia tuna weza kusema kwa umri wake Lulu, hata tukio hili lakifo cha Kanumba ilikuwa ni jitihada zake binafsi za kujitetea na kujinasuakutoka mikono dhalimu ya Kanumba na wengine wengi waliokuwa wamemteka kimapenzibaada ya jamii na serikali yetu kufumbia macho uonevu alio kuwa anafanyiwa Lulu.

Ina sikitisha sana kujua kuwawatu maarufu walimjua sana Kanumba, viongozi wa serikali walimjua sana Kanumba,wabunge wetu walimjua sana kanumba, vyombo vya habari vilimjua sana Kanumba lakinikwa ajabu kabisa wote kwa pamoja tuliamua kufunga macho tusione mabaya hayaaliyo kuwa anaya fanya.

Napenda kuamini kuwa kwa mtu wa tabia kamaya Kanumba, alicho fanya kwa Lulu sii hicho tuu, wapo watoto wengi wadogo waliojificha na wasiothubutu kueleza machungu waliyo yapata kutoka kwa msanii huyo; huu ni wakati wawatoto hao kuwekwa huru; kwanza waruhusiwe kueleza kinagaudaga yaliyowasibu na pili wawekewe mazingira huruyasiyo waharibu katika mahusiano na watu maarufu mfano wa Kanumba.

Ni usalama wa kiasi gani walio nao watotowanao ingizwa katika filamu za watu wazima; watoto kama Elizabeth(Lulu) na wangine wengi je wapo salama? Ni nani anaye takiwa kuhakikishausalama wa watoto hao? Je ni wazazi wao tuu au ni jamii nzima?
 
kaka na wengine kawaharibia watoto wao, wabongo ni bendera fuata upepo. Ukimaliza na Kanumba hoji na Kikwete naye anayetutia hasara 2005 alipata umaarufu sana yako wapi sasa, hata Kanumba akirudi sasa atafuata nyyo za mwenzake.
 
NAPATA SHIDA KUUKUBALI UMAARUFU WA KANUMBA
Napata shida moyoni kumkubali Kanumba kama mtu muungwana na aliye stahili heshima aliyo pewa ya kuzikwa namaelfu ya watu na tena viongozi wetu wa kitaifa. Nataka kujipambanua mapemahapa kuwa sina shida na mtu yeyote Yule maarufu haswa kama umaarufu wake umetokana nanjia sahihi zinazo weza kuigwa na jamii ya watu walio staarabika.
Ni rahisi watu wengi kufuata mkumbo nakuanza kumsifia mtu maarufu haswa hapa kwetu Tanzaniabila ya kufuatilia umaarufu huo kaupatapataje! Na kama vile ada, mtu yeyotemaarufu anapo fariki dunia, nyuma yake, kuna watu lukuki wanaobaki wakiusifiaumaarufu huo.
Steven Kanumba, msanii wa filamu aliyefariki dunia zaidi ya wiki moja sasa, ni kweli ime thibitika kuwa alikuwa nimtu maarufu sana hapa Tanzania na hata nje ya Tanzania; umati wa watu waliiojitokeza kumzika, ukubwa wa habari zale katika vyombo vyote vya habari, salamu za rambirambi toka serikalini na hataraisi wa nchi kufika nyumbani kwa Kanumba Sinza ni ishara tosha kuwa mtu huyualikuwa ni mtu maarufu.
Binafsi ninapata shida na aina ya umaarufualio jipatia Kanumba; Mimi ni mmoja wa watanzania ninaye kerwa na aina yaumaarufu kama huo. Kwanza kabisa napenda ieleweke kuwa Kanumba alikuwa ni mzinzi maarufu naaliye waharibu watoto wadogo kwa kuwadanganya na fedha au ndoto za kuwa maarufukwa kupitia mlango alio waandalia yeye mwenyewe wa filamu.
Ni kwa sababu ya uganzi tulio naowatanzania ndio maana hadi sasa, tunabaki tukimlilia mtu huyo, mtu ambayealitakiwa awe gerezani miaka zaidi ya mitano iliyopita. Ni kweli kabisa Kanumbaalistahili kushitakiwa mapema sana kwa kosa la kumharibia maisha mtoto mdogo mwenye miaka kumi na hatakuwa na mahusiano naye kimwili yaanikumbaka Elizabeth maarufu kama Lulu. Mtu wa namna hii kwasheria zetu hapa Tanzania alistahili kifungo cha miaka sii chini ya thelathini gerezani.
Wapo watu wanao hoji umri wa Elizabeth leo,hii ni aibu kwetu, tulitakiwa kuhoji umri wake miaka zaidi ya mitano iliyo pitawakati Kanumba akimtumia kwa faida yake na pia kumharibia maisha yake.
Kwa watetezi wote wa haki za watoto na hakiza binadamu hapa Tanzania ni aibu kubwa kwetu kwamba tulichelewa kiasi hichokuona jambo hili na leo hii badala ya Kanumba kushitakiwa anaye shitakiwa nimtoto Lulu kwa maelezo kwamba Lulu alikuwa mpenzi wa Kanumba na ndiye aliyemuua katika ugomvi unao tajwa chanzo chake kama wivu wa kimapenzi, ni linitaifa letu tulihidhinisha mapenzi ya jinsi hii?
Sitaki kumtetea Lulu kwa kosa la kuua kamakweli amehusika kuua; lakini napenda kuweka bayana hapa kwamba Lulu alitakiwa kutetewa kabla ya tukiohili kutokea, na pia tuna weza kusema kwa umri wake Lulu, hata tukio hili lakifo cha Kanumba ilikuwa ni jitihada zake binafsi za kujitetea na kujinasuakutoka mikono dhalimu ya Kanumba na wengine wengi waliokuwa wamemteka kimapenzibaada ya jamii na serikali yetu kufumbia macho uonevu alio kuwa anafanyiwaLulu.
Ina sikitisha sana kujua kuwawatu maarufu walimjua sana Kanumba, viongozi wa serikali walimjua sana Kanumba,wabunge wetu walimjua sana kanumba, vyombo vya habari vilimjua sana Kanumba lakinikwa ajabu kabisa wote kwa pamoja tuliamua kufunga macho tusione mabaya hayaaliyo kuwa anaya fanya.
Napenda kuamini kuwa kwa mtu wa tabia kamaya Kanumba, alicho fanya kwa Lulu sii hicho tuu, wapo watoto wengi wadogo waliojificha na wasiothubutu kueleza machungu waliyo yapata kutoka kwa msanii huyo; huu ni wakati wawatoto hao kuwekwa huru; kwanza waruhusiwe kueleza kinagaudaga yaliyowasibu na pili wawekewe mazingira huruyasiyo waharibu katika mahusiano na watu maarufu mfano wa Kanumba.
Ni usalama wa kiasi gani walio nao watotowanao ingizwa katika filamu za watu wazima; watoto kama Elizabeth(Lulu) na wangine wengi je wapo salama? Ni nani anaye takiwa kuhakikishausalama wa watoto hao? Je ni wazazi wao tuu au ni jamii nzima?
Naomba kuwasilisha
Peter John
+255715829576

Crape. Ukurasa wa Steven Kanumba na Elizabeth Michael ulishafungwa siku nyingi. Kama bado unamachungu Lulu kuwa sero, nenda kamwakilshe Mahakamani.
 
We tired with this Rubbish. imetosha sasa.

Haijangia akilini mwako kuwa yaliyomtokea Lulu yaweza kumtokea mwanao au mtu wa karibu kwako in future? Bado utaona kuwa hii ni rubbish siku hiyo? Kanumba kaondoka kweli lakini hakuna kina Kanumba wengine? Kama hawapo leo hii kuna tahadhari au hatua gani zinachukuliwa ili tusiwe nao in future?
 
Nawewe ulikuwa wapi tangu zaidi ya hiyo miaka mitano kumfungulia mashitaka Marehemu Kanumba? Mbona hatukuwahi kusikia kuwa Kanuma alikuwa na wapenzi watoto. Lulu mwenyewe alishawahi kukanusha hadharani, sasa ulitaka tumkanye marehemu kwa hisia tu. Hilo la kuhusu umaarufu wake, zilikuwepo sababu za msingi zilizopelekea hivyo. Nakushangaa kuupinga umaarufu wake, ulikuwepo na utadumu kwa muda sana.
 
NAPATA SHIDA KUUKUBALI UMAARUFU WA KANUMBA
Napata shida moyoni kumkubali Kanumba kama mtu muungwana na aliye stahili heshima aliyo pewa ya kuzikwa namaelfu ya watu na tena viongozi wetu wa kitaifa. Nataka kujipambanua mapemahapa kuwa sina shida na mtu yeyote Yule maarufu haswa kama umaarufu wake umetokana nanjia sahihi zinazo weza kuigwa na jamii ya watu walio staarabika.
Ni rahisi watu wengi kufuata mkumbo nakuanza kumsifia mtu maarufu haswa hapa kwetu Tanzaniabila ya kufuatilia umaarufu huo kaupatapataje! Na kama vile ada, mtu yeyotemaarufu anapo fariki dunia, nyuma yake, kuna watu lukuki wanaobaki wakiusifiaumaarufu huo.
Steven Kanumba, msanii wa filamu aliyefariki dunia zaidi ya wiki moja sasa, ni kweli ime thibitika kuwa alikuwa nimtu maarufu sana hapa Tanzania na hata nje ya Tanzania; umati wa watu waliiojitokeza kumzika, ukubwa wa habari zale katika vyombo vyote vya habari, salamu za rambirambi toka serikalini na hataraisi wa nchi kufika nyumbani kwa Kanumba Sinza ni ishara tosha kuwa mtu huyualikuwa ni mtu maarufu.
Binafsi ninapata shida na aina ya umaarufualio jipatia Kanumba; Mimi ni mmoja wa watanzania ninaye kerwa na aina yaumaarufu kama huo. Kwanza kabisa napenda ieleweke kuwa Kanumba alikuwa ni mzinzi maarufu naaliye waharibu watoto wadogo kwa kuwadanganya na fedha au ndoto za kuwa maarufukwa kupitia mlango alio waandalia yeye mwenyewe wa filamu.
Ni kwa sababu ya uganzi tulio naowatanzania ndio maana hadi sasa, tunabaki tukimlilia mtu huyo, mtu ambayealitakiwa awe gerezani miaka zaidi ya mitano iliyopita. Ni kweli kabisa Kanumbaalistahili kushitakiwa mapema sana kwa kosa la kumharibia maisha mtoto mdogo mwenye miaka kumi na hatakuwa na mahusiano naye kimwili yaanikumbaka Elizabeth maarufu kama Lulu. Mtu wa namna hii kwasheria zetu hapa Tanzania alistahili kifungo cha miaka sii chini ya thelathini gerezani.
Wapo watu wanao hoji umri wa Elizabeth leo,hii ni aibu kwetu, tulitakiwa kuhoji umri wake miaka zaidi ya mitano iliyo pitawakati Kanumba akimtumia kwa faida yake na pia kumharibia maisha yake.
Kwa watetezi wote wa haki za watoto na hakiza binadamu hapa Tanzania ni aibu kubwa kwetu kwamba tulichelewa kiasi hichokuona jambo hili na leo hii badala ya Kanumba kushitakiwa anaye shitakiwa nimtoto Lulu kwa maelezo kwamba Lulu alikuwa mpenzi wa Kanumba na ndiye aliyemuua katika ugomvi unao tajwa chanzo chake kama wivu wa kimapenzi, ni linitaifa letu tulihidhinisha mapenzi ya jinsi hii?
Sitaki kumtetea Lulu kwa kosa la kuua kamakweli amehusika kuua; lakini napenda kuweka bayana hapa kwamba Lulu alitakiwa kutetewa kabla ya tukiohili kutokea, na pia tuna weza kusema kwa umri wake Lulu, hata tukio hili lakifo cha Kanumba ilikuwa ni jitihada zake binafsi za kujitetea na kujinasuakutoka mikono dhalimu ya Kanumba na wengine wengi waliokuwa wamemteka kimapenzibaada ya jamii na serikali yetu kufumbia macho uonevu alio kuwa anafanyiwaLulu.
Ina sikitisha sana kujua kuwawatu maarufu walimjua sana Kanumba, viongozi wa serikali walimjua sana Kanumba,wabunge wetu walimjua sana kanumba, vyombo vya habari vilimjua sana Kanumba lakinikwa ajabu kabisa wote kwa pamoja tuliamua kufunga macho tusione mabaya hayaaliyo kuwa anaya fanya.
Napenda kuamini kuwa kwa mtu wa tabia kamaya Kanumba, alicho fanya kwa Lulu sii hicho tuu, wapo watoto wengi wadogo waliojificha na wasiothubutu kueleza machungu waliyo yapata kutoka kwa msanii huyo; huu ni wakati wawatoto hao kuwekwa huru; kwanza waruhusiwe kueleza kinagaudaga yaliyowasibu na pili wawekewe mazingira huruyasiyo waharibu katika mahusiano na watu maarufu mfano wa Kanumba.
Ni usalama wa kiasi gani walio nao watotowanao ingizwa katika filamu za watu wazima; watoto kama Elizabeth(Lulu) na wangine wengi je wapo salama? Ni nani anaye takiwa kuhakikishausalama wa watoto hao? Je ni wazazi wao tuu au ni jamii nzima?
Naomba kuwasilisha
Peter John
+255715829576

Binadamu bana! Sikuipenda hii thread.
 
NAPATA SHIDA KUUKUBALI UMAARUFU WA KANUMBA
Napata shida moyoni kumkubali Kanumba kama mtu muungwana na aliye stahili heshima aliyo pewa ya kuzikwa namaelfu ya watu na tena viongozi wetu wa kitaifa. Nataka kujipambanua mapemahapa kuwa sina shida na mtu yeyote Yule maarufu haswa kama umaarufu wake umetokana nanjia sahihi zinazo weza kuigwa na jamii ya watu walio staarabika.
Ni rahisi watu wengi kufuata mkumbo nakuanza kumsifia mtu maarufu haswa hapa kwetu Tanzaniabila ya kufuatilia umaarufu huo kaupatapataje! Na kama vile ada, mtu yeyotemaarufu anapo fariki dunia, nyuma yake, kuna watu lukuki wanaobaki wakiusifiaumaarufu huo.
Steven Kanumba, msanii wa filamu aliyefariki dunia zaidi ya wiki moja sasa, ni kweli ime thibitika kuwa alikuwa nimtu maarufu sana hapa Tanzania na hata nje ya Tanzania; umati wa watu waliiojitokeza kumzika, ukubwa wa habari zale katika vyombo vyote vya habari, salamu za rambirambi toka serikalini na hataraisi wa nchi kufika nyumbani kwa Kanumba Sinza ni ishara tosha kuwa mtu huyualikuwa ni mtu maarufu.
Binafsi ninapata shida na aina ya umaarufualio jipatia Kanumba; Mimi ni mmoja wa watanzania ninaye kerwa na aina yaumaarufu kama huo. Kwanza kabisa napenda ieleweke kuwa Kanumba alikuwa ni mzinzi maarufu naaliye waharibu watoto wadogo kwa kuwadanganya na fedha au ndoto za kuwa maarufukwa kupitia mlango alio waandalia yeye mwenyewe wa filamu.
Ni kwa sababu ya uganzi tulio naowatanzania ndio maana hadi sasa, tunabaki tukimlilia mtu huyo, mtu ambayealitakiwa awe gerezani miaka zaidi ya mitano iliyopita. Ni kweli kabisa Kanumbaalistahili kushitakiwa mapema sana kwa kosa la kumharibia maisha mtoto mdogo mwenye miaka kumi na hatakuwa na mahusiano naye kimwili yaanikumbaka Elizabeth maarufu kama Lulu. Mtu wa namna hii kwasheria zetu hapa Tanzania alistahili kifungo cha miaka sii chini ya thelathini gerezani.
Wapo watu wanao hoji umri wa Elizabeth leo,hii ni aibu kwetu, tulitakiwa kuhoji umri wake miaka zaidi ya mitano iliyo pitawakati Kanumba akimtumia kwa faida yake na pia kumharibia maisha yake.
Kwa watetezi wote wa haki za watoto na hakiza binadamu hapa Tanzania ni aibu kubwa kwetu kwamba tulichelewa kiasi hichokuona jambo hili na leo hii badala ya Kanumba kushitakiwa anaye shitakiwa nimtoto Lulu kwa maelezo kwamba Lulu alikuwa mpenzi wa Kanumba na ndiye aliyemuua katika ugomvi unao tajwa chanzo chake kama wivu wa kimapenzi, ni linitaifa letu tulihidhinisha mapenzi ya jinsi hii?
Sitaki kumtetea Lulu kwa kosa la kuua kamakweli amehusika kuua; lakini napenda kuweka bayana hapa kwamba Lulu alitakiwa kutetewa kabla ya tukiohili kutokea, na pia tuna weza kusema kwa umri wake Lulu, hata tukio hili lakifo cha Kanumba ilikuwa ni jitihada zake binafsi za kujitetea na kujinasuakutoka mikono dhalimu ya Kanumba na wengine wengi waliokuwa wamemteka kimapenzibaada ya jamii na serikali yetu kufumbia macho uonevu alio kuwa anafanyiwaLulu.
Ina sikitisha sana kujua kuwawatu maarufu walimjua sana Kanumba, viongozi wa serikali walimjua sana Kanumba,wabunge wetu walimjua sana kanumba, vyombo vya habari vilimjua sana Kanumba lakinikwa ajabu kabisa wote kwa pamoja tuliamua kufunga macho tusione mabaya hayaaliyo kuwa anaya fanya.
Napenda kuamini kuwa kwa mtu wa tabia kamaya Kanumba, alicho fanya kwa Lulu sii hicho tuu, wapo watoto wengi wadogo waliojificha na wasiothubutu kueleza machungu waliyo yapata kutoka kwa msanii huyo; huu ni wakati wawatoto hao kuwekwa huru; kwanza waruhusiwe kueleza kinagaudaga yaliyowasibu na pili wawekewe mazingira huruyasiyo waharibu katika mahusiano na watu maarufu mfano wa Kanumba.
Ni usalama wa kiasi gani walio nao watotowanao ingizwa katika filamu za watu wazima; watoto kama Elizabeth(Lulu) na wangine wengi je wapo salama? Ni nani anaye takiwa kuhakikishausalama wa watoto hao? Je ni wazazi wao tuu au ni jamii nzima?
Naomba kuwasilisha
Peter John
+255715829576

Brother Peter yeyote anaepingana na mawazo yako huyo ni punguani kabisaaaaaa! Mazingira ya lulu na kanumba yawe changamoto kwa akina H Mdee na wanaharakati wa haki za binadamu hasa za watoto wanaoshirikishwa kwenye fillamu au tasnia nzima ya burudani. Leo tumeona kanumba, Ray, Mr Chuz n.k nyendo zao zimulikwe.sitaki kuamini kuwa SK peke yake ndo alikua na ashki ya kubaka watoto wadogo, hawa jamaa hua wanashindana kudhlilisha wanawake na watoto kupitia kampuni zao. Lakini pia wazazi wa lulu hawakumtendea haki mtoto wao na walistahili kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kushindwa kutimiza wajibu wao kwa mtoto lulu. Badala ya kumjenga kimaadili walimvunja kimaadili kwa kumruhusu afanye ngono kabla ya umri wake. Walitegemea nini kumuona mtoto akitembea uchi na kurandaranda usiku wa manane na wanaume wabakaji? Wazazi wa lulu wanastahili kulaaniwa na kila mpenda maadili aidha kusikitika kwa kuondoka duniani SK ni haki kila aliyempenda, ni makosa makubwa kumpa SK heshima aliyopewa coz hakustahili - alikuwa mfujaji kifo hiki kilitakiwa kimkute akiwa jela, hakustahili kuwa huru ktk jamii
 
me nitaendelea kulia na nyie wazazi kuwapa fursa watoto wenu kuingia kwenye filamu wakiwa wadogo! mnategemea wata waacha? na wewe ulikuwa wapi siku zote kutosema haya mpaka yana mkuta lulu? umaarufu wa kanumba usi ushangae ni kwasababu wenzako wanampenda! usilala mike mlinde mwanao sababu ray,hemed, awatomuacha!
 
me nauliza kabla ya kanumba huyo lulu alikua na wangapi?na hata alipokua nae alikua peke yake?binafsi nasema kama lulu angekataa kanumba angemlazimisha?mara ngapi hako kabinti kametolewa kwenye vyombo vya habari na mambo ya ajabu anabu?mi cdhani kama marehem anastahili kulaumiwa et mzinzi ama amekaharibu hako katoto.nadhani wa kulaumiwa ni wazazi wa lulu kwa kutokumlea mtoto wao ktk maadili yanayofaa.mtoto aliyelelewa ktk misingi inayofaa hawez kupatwa na kashfa chafu kama alizokua nazo huyo binti.me naona mkuu ucmuhukumu marehemu kua ni mzinzi cjui nini ilhali ameshakwenda kwa hakimu wa haki,2mwachie Mungu amuhukumu.
 
mwanawane hata ktk maandiko matakatifu if u read them btn lines bila jazba u will realize dat S.K ni mzinzi kwa mazingira ya mkasa mzima! Lakini pia ktk sheria za bongo SK alikua anakabaka katoto malaya lulu! Maiti yake ilitakiwa ikatumikie kifung then izikwe kwa aibu!
 
Back
Top Bottom