The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Sina uhakika kama nimepatia jina hilo...
But naamini nimeeleweka...
Juzi nilikuwa sehemu hivi,kama restaurant hivi
akatokea mwanaume,umri over 50 kwa muonekano....
Sasa alikuwa anaonekana kama ana mikono mieusi
na uso mweupe hivi,kama kajichubua hivi....
Baadhi ya watu hasa kina dada waka aanza kumzungumza
so nikaona mazungumzo yanakwenda kwenye
kitu kimoja tu,ni mafuta nafikiri yanaitwa carol light..
Nikavuta kumbukumbu nikagundua kuwa hata kwenye nyimbo yanatajwa
haya mafuta.....
Sasa nimekuwa na maswali...
1.carol light ni nini hasa?mafuta?mkorogo?lotion?
2.kwa nini yamekuwa maarufu sana hasa kwa wadada
3.wanao tumia ni watu aina gani?
4.ni kweli yana madhara?tfda,serikali.tbs wapo wapi?
5.ni kweli yamepigwa maruku baadhi ya nchi?uganda?malawi?
6.tanzania ni kampuni gani inahusika na biashara hii?
7.nini kinaongezeka kwa mtumiaji?
8.kama ni mkorogo kwa nini umekuwa maarufu kuliko mingine?
9,na akina baba wanaotumia?inakuwaje?
10.au kuna kitu kingine kinaitwa carol light na sio huo mkorogo??????????
But naamini nimeeleweka...
Juzi nilikuwa sehemu hivi,kama restaurant hivi
akatokea mwanaume,umri over 50 kwa muonekano....
Sasa alikuwa anaonekana kama ana mikono mieusi
na uso mweupe hivi,kama kajichubua hivi....
Baadhi ya watu hasa kina dada waka aanza kumzungumza
so nikaona mazungumzo yanakwenda kwenye
kitu kimoja tu,ni mafuta nafikiri yanaitwa carol light..
Nikavuta kumbukumbu nikagundua kuwa hata kwenye nyimbo yanatajwa
haya mafuta.....
Sasa nimekuwa na maswali...
1.carol light ni nini hasa?mafuta?mkorogo?lotion?
2.kwa nini yamekuwa maarufu sana hasa kwa wadada
3.wanao tumia ni watu aina gani?
4.ni kweli yana madhara?tfda,serikali.tbs wapo wapi?
5.ni kweli yamepigwa maruku baadhi ya nchi?uganda?malawi?
6.tanzania ni kampuni gani inahusika na biashara hii?
7.nini kinaongezeka kwa mtumiaji?
8.kama ni mkorogo kwa nini umekuwa maarufu kuliko mingine?
9,na akina baba wanaotumia?inakuwaje?
10.au kuna kitu kingine kinaitwa carol light na sio huo mkorogo??????????