SITABIRIKI
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 364
- 105
mwaya najaribu niku pm nashindwabasi mwaya usijali ipo siku utaamini.
hebu siku muulizie mtu hivi libwata ni nini?
mwaya najaribu niku pm nashindwabasi mwaya usijali ipo siku utaamini.
hebu siku muulizie mtu hivi libwata ni nini?
Nakutafuta mkuu1.Kuna ambayo mtu anapewa anaweka mdomon anasuza mdomo,then anakukiss,apo hata umwambie nichambulie marage kwenye kinyes changu anachambua kwa ulimi!(hutumika sana na dada au kakazetu walioopoa mapedeshee au wadhungu wawapelekeshe wawachune ad ngozi)
2. Yakuchanjiwa kwnye paji la uso, si mapenzin tu,adi maofisin,kila akuonae anakuinamia i min anakutetemekea.
3. Yakuweka kwenye msosi unamnuia yeye mhusika, chochote utakacho,teh asa ole wale panya,cjuw itakueje
4. Nb zipo nyingi tu,hasa Tabora,KG siyo wote but wengi waha na wanyamwezi hupenda sana mpulizo..NASISITIZA SIYO WOTE!
Yaani haya mambo zamani nilikuwa siyaamini,ila sasa naamini yapo, sababu mimi mwenyewe nilimbamba demu wangu akinifanyia mambo ambayo naona sio vyema kuyaanika hapa, na niligundua kanipiga ULOZI siku nyingi saana,kwanza kabisa nikiwa mbali na nyumbani yaani nje ya mji, uume wangu husimama mpaka mishipa inauma mpaka nimpigie simu Demu wangu nisikie sauti yake ndio napata nafuu,amini usiamini mpaka leo hili tatizo halijapata ufumbuzi kwa hiyo gfsonwin naomba unitafutie suluhisho niko tayari kulipia huduma.yaani usiseme umeona aisee wewe nyamaza tu.
ila dunian kuna mambo acha kabisa.
Msaada please nimejaribu kuku PM,nimeshindwa tafadhali uni PM wewe gfsonwin.basi mwaya usijali ipo siku utaamini.
hebu siku muulizie mtu hivi libwata ni nini?
Mamaaaa weeee baaasi nimekwisha jamani.do they care wafikiri? wanachojua ni kumvuta wanayemkusudia acha kabisa. ukiskia nyumba ndogo inapika vizuri msosi wake mtamu ujue ndo nyama hizi.
gsfonwin na huko nyuma mko wangapi?,au ni wewe tu?,niko serious tafadhali.do they care wafikiri? wanachojua ni kumvuta wanayemkusudia acha kabisa. ukiskia nyumba ndogo inapika vizuri msosi wake mtamu ujue ndo nyama hizi.
Yaani hii inaonesha uzoefu wako wa kuchambua kinyesi,yaani umejuaje ndani ya kInyesi kuna maharagwe hayajasagika?.Haaaah we mwanamke USHINDWEE kwa DAMU YA YESUUUUUUUUU.1.Kuna ambayo mtu anapewa anaweka mdomon anasuza mdomo,then anakukiss,apo hata umwambie nichambulie marage kwenye kinyes changu anachambua kwa ulimi!(hutumika sana na dada au kakazetu walioopoa mapedeshee au wadhungu wawapelekeshe wawachune ad ngozi)
2. Yakuchanjiwa kwnye paji la uso, si mapenzin tu,adi maofisin,kila akuonae anakuinamia i min anakutetemekea.
3. Yakuweka kwenye msosi unamnuia yeye mhusika, chochote utakacho,teh asa ole wale panya,cjuw itakueje
4. Nb zipo nyingi tu,hasa Tabora,KG siyo wote but wengi waha na wanyamwezi hupenda sana mpulizo..NASISITIZA SIYO WOTE!
CHAI NYINGINE HII,TENA HII NAITA CHAI MAHARAGWEEEEEEEEEEEE,INANYAMBISHAAAAAAA.haya mambo yapo aiseee kuna Brother wangu ni mganga wa vitabu....enzi zile tunakuwa hatujui kutongoza tunaenda kwake tu tunampa jina la huyo mpenzi na jina la mama ake anafanya mambo pale basi ndani ya siku 7 tu kama usipompata huyo mwanamke ww sio mzima.
Tena utagandwa mpaka utaona karaha mtoto wa watu anakuwa kama kichaa...
Nilikuja kuacha baada ya kuwafanyia hivyo mademu watatu kwa wakati mmoja si unajua jamaa kaka angu kwa hiyo nikimwambia tu anafanya hana neno basi wale mademu waliamia kwetu shule hawataki kwenda kwao hawataki hiyo ikawa bonge la msala mtaani maana mwisho wa siku wawili kati yao walitaka kujiua mmoja kwa sumu mwingine akataka kujitia kitanzi
kuwa uyaone sio maghorofaCHAI NYINGINE HII,TENA HII NAITA CHAI MAHARAGWEEEEEEEEEEEE,INANYAMBISHAAAAAAA.