Ulozi kwenye mahusiano...

1.Kuna ambayo mtu anapewa anaweka mdomon anasuza mdomo,then anakukiss,apo hata umwambie nichambulie marage kwenye kinyes changu anachambua kwa ulimi!(hutumika sana na dada au kakazetu walioopoa mapedeshee au wadhungu wawapelekeshe wawachune ad ngozi)
2. Yakuchanjiwa kwnye paji la uso, si mapenzin tu,adi maofisin,kila akuonae anakuinamia i min anakutetemekea.
3. Yakuweka kwenye msosi unamnuia yeye mhusika, chochote utakacho,teh asa ole wale panya,cjuw itakueje
4. Nb zipo nyingi tu,hasa Tabora,KG siyo wote but wengi waha na wanyamwezi hupenda sana mpulizo..NASISITIZA SIYO WOTE!
Nakutafuta mkuu
 
yaani usiseme umeona aisee wewe nyamaza tu.
ila dunian kuna mambo acha kabisa.
Yaani haya mambo zamani nilikuwa siyaamini,ila sasa naamini yapo, sababu mimi mwenyewe nilimbamba demu wangu akinifanyia mambo ambayo naona sio vyema kuyaanika hapa, na niligundua kanipiga ULOZI siku nyingi saana,kwanza kabisa nikiwa mbali na nyumbani yaani nje ya mji, uume wangu husimama mpaka mishipa inauma mpaka nimpigie simu Demu wangu nisikie sauti yake ndio napata nafuu,amini usiamini mpaka leo hili tatizo halijapata ufumbuzi kwa hiyo gfsonwin naomba unitafutie suluhisho niko tayari kulipia huduma.
 
haya mambo yapo aiseee kuna Brother wangu ni mganga wa vitabu....enzi zile tunakuwa hatujui kutongoza tunaenda kwake tu tunampa jina la huyo mpenzi na jina la mama ake anafanya mambo pale basi ndani ya siku 7 tu kama usipompata huyo mwanamke ww sio mzima.

Tena utagandwa mpaka utaona karaha mtoto wa watu anakuwa kama kichaa...

Nilikuja kuacha baada ya kuwafanyia hivyo mademu watatu kwa wakati mmoja si unajua jamaa kaka angu kwa hiyo nikimwambia tu anafanya hana neno basi wale mademu waliamia kwetu shule hawataki kwenda kwao hawataki hiyo ikawa bonge la msala mtaani maana mwisho wa siku wawili kati yao walitaka kujiua mmoja kwa sumu mwingine akataka kujitia kitanzi
 
Hapo kwenye "Unyayo" ndio sijakuelewa mkuu, unyao upi anaochukua na kuukaanga na kucha, nywele n.k na kuwa jivu?
 
1.Kuna ambayo mtu anapewa anaweka mdomon anasuza mdomo,then anakukiss,apo hata umwambie nichambulie marage kwenye kinyes changu anachambua kwa ulimi!(hutumika sana na dada au kakazetu walioopoa mapedeshee au wadhungu wawapelekeshe wawachune ad ngozi)
2. Yakuchanjiwa kwnye paji la uso, si mapenzin tu,adi maofisin,kila akuonae anakuinamia i min anakutetemekea.
3. Yakuweka kwenye msosi unamnuia yeye mhusika, chochote utakacho,teh asa ole wale panya,cjuw itakueje
4. Nb zipo nyingi tu,hasa Tabora,KG siyo wote but wengi waha na wanyamwezi hupenda sana mpulizo..NASISITIZA SIYO WOTE!
Yaani hii inaonesha uzoefu wako wa kuchambua kinyesi,yaani umejuaje ndani ya kInyesi kuna maharagwe hayajasagika?.Haaaah we mwanamke USHINDWEE kwa DAMU YA YESUUUUUUUUU.
 
haya mambo yapo aiseee kuna Brother wangu ni mganga wa vitabu....enzi zile tunakuwa hatujui kutongoza tunaenda kwake tu tunampa jina la huyo mpenzi na jina la mama ake anafanya mambo pale basi ndani ya siku 7 tu kama usipompata huyo mwanamke ww sio mzima.

Tena utagandwa mpaka utaona karaha mtoto wa watu anakuwa kama kichaa...

Nilikuja kuacha baada ya kuwafanyia hivyo mademu watatu kwa wakati mmoja si unajua jamaa kaka angu kwa hiyo nikimwambia tu anafanya hana neno basi wale mademu waliamia kwetu shule hawataki kwenda kwao hawataki hiyo ikawa bonge la msala mtaani maana mwisho wa siku wawili kati yao walitaka kujiua mmoja kwa sumu mwingine akataka kujitia kitanzi
CHAI NYINGINE HII,TENA HII NAITA CHAI MAHARAGWEEEEEEEEEEEE,INANYAMBISHAAAAAAA.
 
Dah hii dunia kaz ipooo! Dhana ya uchawi kuna watu haifanyi kaz kabsaa mfano Mimi nikijaribu kufanya au kufanyiwa hua inakataa kabsaa. Kuna jamaa aliwahi nipeleka ili ujasiriamali uende vizr japo yy alifanikiwa Mimi ziligomaaa mambo yalienda kawaida tuuu japo yy alifanikiwa, pia hata sijawah ona dalili za kulogwa hata chembe japo wanafamilia wenzangu hudai kuna kitu sijui hivi sijui vileee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom