Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,321
- 17,821
mi huwa naamini kwau ushirikina, ulozi nk ni imani kama imani za dini nyingine. Ukiamini unakuwa muumini, usipoamini hudhuriki.
Mimi nampenda mke wangu ila siamini hata kidogo kuwa mapenzi haya yanachochewa na ushirikina....mana hapa baadhi yetu wanaume tutaanza kuogopa kula nyama nyumbani lol
Mimi nampenda mke wangu ila siamini hata kidogo kuwa mapenzi haya yanachochewa na ushirikina....mana hapa baadhi yetu wanaume tutaanza kuogopa kula nyama nyumbani lol