Ina chelewa kuwaka, inakosa nguvu , inakunywa mafuta mengi sana, inatoa moshi mwingi, imepoteza sound yake, ina R.kej ( inamwaga diesel or oil )....!
Suluisho lako ni shoo diesel service
Kutana nasi kwa matizo yote ya gari yako udumiwa nasi kwa )))) Shoohenry5@gmail.com
Sim no. 0758277823
Karibu.!
Gari imekusumbua ujajua ufanyeje, matatizo kujirudia rudia, garama za kufanya service kwako zimekua kubwa na zinakuvunja moyo,
SHOO TRUCK DIESEL SERVICE
ndio suluhisho la tatizo lako. Tunatoa huduma zenye ubora na uwakika kwa matatizo yote ya gari yako, pia huduma zetu ni nafuu na rafiki kwa Wateja wetu.
Tunapatikana dar es salaam, tabata old dampo, pia kwa mikoani huduma zipo.
Kwa mawasiliano zaidi;-+255758277823 shoohenry5@gmail.com
Sifahamu kama unaruhusiwa kujitangaza, ila nado hujaweka sawa. Je mnatengeneza gari za diesel tu? Na je ni mikoa gani huduma zipo na namba zenu. Maana sehemu kubwa mafundi tunawajua ni wezi mnatuibia ktk service zenu. Mafundi wengi mnalipua kazi. Mimi sasa siamini sana mafundi, nahisi nikipata tatizo bora niende kwa agent (mfano Toyota) nilipe gharama kubwa ila huduma ni ya uhakika. Kwa hiyo wewe kama unataka kuwa agent unahitaji maoni toka kwa wateja (wenye magari) ijue kitu gani wanahitaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.