Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,781
- 59,148
kama ndivyo si muoane tu?
Ili. . . . ?
kama ndivyo si muoane tu?
Ili. . . . ?
Muijaze dunia kama angelina jollie na brad pitt,lol
Nakusalimia tu wifi
Hahahaha.. . Angelina mwenyewe kashaanza kupigwa madongo. Alafu tutajaza wachokozi tu, watu wataikimbia dunia bure. Lolz
Asante wifi, salama kwako?
Namie nataka nikutafute au utapoteza kama alivyofanyiwa FNG
MIA unavyoonekana mjanja fulani kumbe na wewe umeingizwa kingi?? Mnajifanya mnajua kucheza na vichwa vya wanawake ila wanawake wanaoamua kuwakomeshea wanawakomeshea kweli kweli japo ni wachache wanaofanya hvo. Poyeeeee MIA
Ushanipiga changa la macho mrembo, ehee posta sehemu gani?Mimi sijapotea kwahiyo hauna haja ya kunitafuta. Ila kama unataka kuniona njoo Posta jumatatu.
Ushanipiga changa la macho mrembo, ehee posta sehemu gani?
Teheeeteheee!
Teheeeheee tatizo pale joto sana, halafu computer zao zote vioo vina ukungu na makengeza, halafu kuna joto sanaaaa! Wanatumia vifeni vya shingo tu!We nawe. . .nilikuwepo tangu asubuhi ila nakaribia kuondoka sasa. Kama ntakuwepo kesho ntakushtua uje pale Shell kuna cafe pembeni utanikuta.
ndo maana nakuogopa. kumbe na wewe huwa unakomoa wavulana eeh? ndo maana sijawahi kutongoza msichana jf.
Teheeeheee tatizo pale joto sana, halafu computer zao zote vioo vina ukungu na makengeza, halafu kuna joto sanaaaa! Wanatumia vifeni vya shingo tu!
Poa nitakusubiria mlangoni mpeni kidogo ya wauza Luku!