Uliyonifanyia yalinifanya niwe mdogo kama piriton

Hellow! jf
Huyu binti nilikuwa nawasiliana nae kwanza kwa pm. hadi tukapanga nae niende kumtembelea zanzibar. Jmos iloisha nikafunga safari hadi bandalini. Mpango ulikuwa ni kwenda nilale huko. Nikampigia simu ya kwamba napanda boti ya saa nane na akaahidi kuja kunipokea bandali ya zenj, Cha ajabu nilipofika zenji na kumpigia simu akanijibu "HIVI UMEENDA KWELI? MWENZIO NAKAA ARUSHA. YALE NI MAMBO YA JF BANA FIGGANIGGA, MI NKAJUA WANTANIA ATI!. POLE SANA".Akamalizia na kicheko!. Nimfanyeje huyu jaman?. Mia
ah nawe umezidi bwana.mtu kabip tu we unapiga kabisa???acha hayo mambo bwana kha!sasa humu si utadanganywa sana kama ukiwa hivyo!JF bwana kuna watu wanafurahisha kweli
 
Hellow! jf
Huyu binti nilikuwa nawasiliana nae kwanza kwa pm. hadi tukapanga nae niende kumtembelea zanzibar. Jmos iloisha nikafunga safari hadi bandalini. Mpango ulikuwa ni kwenda nilale huko. Nikampigia simu ya kwamba napanda boti ya saa nane na akaahidi kuja kunipokea bandali ya zenj, Cha ajabu nilipofika zenji na kumpigia simu akanijibu "HIVI UMEENDA KWELI? MWENZIO NAKAA ARUSHA. YALE NI MAMBO YA JF BANA FIGGANIGGA, MI NKAJUA WANTANIA ATI!. POLE SANA".Akamalizia na kicheko!. Nimfanyeje huyu jaman?. Mia

ha ha ha haaaa.....yan nimecheka kwa nguvu,pole mwaya.
 
hapo pa wa kulipizia, unajua there are very few foolish women? (sijasema figganigga anad the likes ni fools)
wanawake wanajua kusoma alama za nyakati mapemaaa!
Daktari hua halii kwa kumuona mgonjwa aliezidiwa !
Aidha Jogoo hafi kwa utitiri !
Geuka kushoto!
Geuka kulia !
Angaza upya wapi pa kulipizia !
 
Hellow! jf
Huyu binti nilikuwa nawasiliana nae kwanza kwa pm. hadi tukapanga nae niende kumtembelea zanzibar. Jmos iloisha nikafunga safari hadi bandalini. Mpango ulikuwa ni kwenda nilale huko. Nikampigia simu ya kwamba napanda boti ya saa nane na akaahidi kuja kunipokea bandali ya zenj, Cha ajabu nilipofika zenji na kumpigia simu akanijibu "HIVI UMEENDA KWELI? MWENZIO NAKAA ARUSHA. YALE NI MAMBO YA JF BANA FIGGANIGGA, MI NKAJUA WANTANIA ATI!. POLE SANA".Akamalizia na kicheko!. Nimfanyeje huyu jaman?. Mia

Huna cha kumfanya kwa sababu humfahamu.
 
Hellow! jf
Huyu binti nilikuwa nawasiliana nae kwanza kwa pm. hadi tukapanga nae niende kumtembelea zanzibar. Jmos iloisha nikafunga safari hadi bandalini. Mpango ulikuwa ni kwenda nilale huko. Nikampigia simu ya kwamba napanda boti ya saa nane na akaahidi kuja kunipokea bandali ya zenj, Cha ajabu nilipofika zenji na kumpigia simu akanijibu "HIVI UMEENDA KWELI? MWENZIO NAKAA ARUSHA. YALE NI MAMBO YA JF BANA FIGGANIGGA, MI NKAJUA WANTANIA ATI!. POLE SANA".Akamalizia na kicheko!. Nimfanyeje huyu jaman?. Mia

Atakuwa.....mmmmmhhhh, FaisiBuku au Smile au FaizyFox....mmmmm ngoja nipe ramli tena nitawaambia alikuwa nani...
 
polee kakaaa!!duh..ungeenda zako bustani ya forozaniii ulee zako maurojoo na viseheti,nawewee unamzugaa hahaha,ivi ulizani kweliii nimekujaa znz wakati na juaa mambo ya jf afuuuu unakausha,japo karoho kataumaa,inaumaa zaidi ka umetoka mwanza hadi znz kisaaa bintiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom