figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Hellow JF
Huyu binti nilikuwa nawasiliana naye kwanza kwa PM.
Hadi tukapanga naye niende kumtembelea Zanzibar. Jumamosi iliyoisha nikafunga safari hadi bandarini.
Mpango ulikuwa ni kwenda nilale huko. Nikampigia simu ya kwamba napanda boti ya saa nane na akaahidi kuja kunipokea bandari ya zenj.
Cha ajabu nilipofika zenji na kumpigia simu akanijibu "hivi umeenda kweli mwenzio nakaa Arusha.
Yale ni mambo ya JF bana figganigga, mi nkaja wantania ati, pole sana".
Akamalizia na kicheko.
Nimfanyeje huyu jamani?
Huyu binti nilikuwa nawasiliana naye kwanza kwa PM.
Hadi tukapanga naye niende kumtembelea Zanzibar. Jumamosi iliyoisha nikafunga safari hadi bandarini.
Mpango ulikuwa ni kwenda nilale huko. Nikampigia simu ya kwamba napanda boti ya saa nane na akaahidi kuja kunipokea bandari ya zenj.
Cha ajabu nilipofika zenji na kumpigia simu akanijibu "hivi umeenda kweli mwenzio nakaa Arusha.
Yale ni mambo ya JF bana figganigga, mi nkaja wantania ati, pole sana".
Akamalizia na kicheko.
Nimfanyeje huyu jamani?