Ulishamuona your first love?

mi nilipokuwa std2 at 8yrs nilikuwa namtamani mwalimu wangu...she was so sweet. akahama shule mpaka leo sijui alipo.
 
...mnh, kwa sredi hii nimethibitisha tatizo lipo deep kuliko nilivyokuwa nafikiri.
Yaani nyie umri huo wa shule ya vidudu tayari mlishaanza 'matusi?' lol!!!!:hail:...

na ukikutwa unafanya hayo matusi, utakoma, utatamani ardhi ipasuke uingie,thanks God sijawahi kufumwa nafanya matusi ya kinguo nguo.
Im so proud of myself, I pass all the childhood stages. from kudokoa maharage na sukari mpaka mchezo wa baba na mama.I was not so innocent.
 
...ha ha ha haaaa!!!....e bana weee!
mbaya zaid hata yeye alikuwa ananipenda, kuna siku aliingia darasani kulikuwa kuna fujo balaa zile za ki primary..basi akawachapa woote alipofika kwangu akanipita...
sio siri, nampenda mpaka leo.
 
mbaya zaid hata yeye alikuwa ananipenda, kuna siku aliingia darasani kulikuwa kuna fujo balaa zile za ki primary..basi akawachapa woote alipofika kwangu akanipita...
sio siri, nampenda mpaka leo.
Loh.....labda ndo maana alihama kwasababu alikua anaumia kukuona kila siku wakati hawezi kukupata!
 
Hapana zile za utoto ni hisia za kawaida za kitoto nadhani woote wenye utashi wanapitia tht stage, na huwezi ukawa umemweka kuwa vile alivyokuwa kitoto ndivyo atakavyokuwa kwenye utu uzima, kwani katika utoto nadhani formula ni moja tu, girl likes boy, boy likes girl...

Ukubwani unavutiwa na mengi maana umeshapevuka, ila kama huyo wa primary ulivuka naye hadi sekondari labda...

Mimi baba alikuwa mtumishi wa SU so kuhamahama nilimalizia Monduli huko, mdogo darasa zima na njemba zote zilikuwa tayari ni morani, I didn't fancy anybody!
quote_icon.png
Originally Posted by Shantel
Mie nilikuwa kama 10 hv ila huyu wa kibaba na mama, na alikuwa akipangiwa mama mwingine anaondoka.nilimpenda ila wakaondoka na family yake kwenda kuishi nje ya nchi.Yeah wangu! tangu kipindi hicho nikajakutana nae ukubwani kwenye ndege tunaenda arusha hiyo mwaka juzi tulivyofika huko tena heeeeeeeeeee.......%^&*$#@)(*&&....LOL


Mlikutana kwenye ndege umeshaolewa/oa na au kuwa na mahusiano mengine?

Nadhani utakuwa umeona basis ya maoni yangu hayo ukirudia kumsoma Shanter na swali nililomuuliza limenifanya kutafakari zaidi na kupata jibu hili.
 
Mmmmh... These stories wonderfully impressing... haya bana tuendelee
 
gaga miaka 13 unakosa hamu ya kula?:biggrin1:
Nakwambia nikiwekewa chakula nashindwa kula.mama angu alinipeleka hsptl akidhani ninaumwa.yaani yule mtoto sijui yuko wapi sijawahi hata kumuona ila namuonaga tu kaka yake ni mkubwa hapa nchini kwenye matv na ndio alikuwa anakaa kwake.
 
Baada ya kusoma hapa sijajiwazia mie! Nimemuwazia mwanangu mwenye age karibu na hiz zilizotajwa hapa kuwa what is in her mind jamani!! na yeye atakuwa na mtu anaclash nae!? Ooh lord have mercy! Ndo mana natamani nimfungie umoo ndani asome uko! Siku iz wtt wanazaliwa na malazi! Ancheza kinguonguo cjui bade kugusana na malazi juu mwenyezi Mungu tulindie wtt wetu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom