Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,778
- 59,133
Magulumangu pole bana....next time we mpe tu salamu huwezi jua labda na yeye anakusaka sana!Mie nilikuwa la tano akaja demu mgeni faster faster nikaanza kummendea, mama ake alikuwa mwalimu akajua issue acha anipe kipondo, kumbe msichana aliacha barua ikaonwa na mama yake...kumbe mama kachochea, mtoto katoa keki mie ndani ya nyavu...ndo alinitoa ushamba na yeye alikuwa darasa la saba..mwaka jana niemuona tena kawa mzuri jamani na yuko office moja nyeti mie nilipomuona nikajificha maana life limenigeukia....