Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Mavella,nafikiri utakuwa kwenye satellite nyingine na sio w3c kwani kuingana na FlySat Eutelsat 16A @ 16° East Tv Madagaska haipo.Kama utatumia Freq hii 10804 H 30000 dvb-s2/8psk utaweza kupata tvs zote zinazorusha epl evry weekend.Jaribu pia kuzungusha lnbf clockwise/anticlockwise.
 
Viper, MBC package ipo fta ila kutokana na geographical location itakuwa vigumu sana kupatikana, ukiwa arusha unahitaji angalau dishi la 3m. Dubai sports ok ila haionyeshi epl, inaonyesha bundesliga. Free epl inapatikana @ Amos 5 na W3c.

Kwa dar vipi inapatikana
 
Viper, dar itakuwa vigumu zaidi kwani beam ya sat Nile101 inaanzia North Africa
 
Nafikiri thread yangu #74 imeeleweka na kwa ridhaa ya JF bila shaka naweza endelea.Okey?
 
yutong

17102012164.jpg

kaka, Dongle ni aina ya sat reicever ambayo ikiunganishwa na receiver nyingine inaweza kukuwezesha kupata scrumbled channels free of charge. Downside ya kifaa hicho ni kwamba mtumiaji hana guarantee ni kwa muda gani itatumika kwani unaweza kutumika kwa muda mfupi sana halafu ikakata.

Wiztech 8020 hd ni sat decoder ambayo ni dvb-s1/s2, mpeg4, hd compatible.Na strong srt 4669 ni dvb-s1/s2 mpeg4 sd decoder ni mashine nzuri ingawa unatakiwa kuwa makini kununua kwani kuna fake copies nyingi sokoni. Aidha zote zinapatikana kwa urahisi sana dar. Kama utakuwa interested na 1wapo ya mashine hizi unaweza kuni pm nikuelekeze zinakopatikana.



 
Last edited by a moderator:
Viper, dar itakuwa vigumu zaidi kwani beam ya sat Nile101 inaanzia North Africa

Amos 5 na W3c Kwa dar zinapatikana..

lakini katika package ya ABUDHABI .. mbona zinapatika hizi MBC inakuwaje hapa..?
 
Kaka, Dongle ni aina ya sat reicever ambayo ikiunganishwa na receiver nyingine inaweza kukuwezesha kupata scrumbled channels free of charge. Downside ya kifaa hicho ni kwamba mtumiaji hana guarantee ni kwa muda gani itatumika kwani unaweza kutumika kwa muda mfupi sana halafu ikakata.

Wiztech 8020 hd ni sat decoder ambayo ni dvb-s1/s2, mpeg4, hd compatible.Na strong srt 4669 ni dvb-s1/s2 mpeg4 sd decoder ni mashine nzuri ingawa unatakiwa kuwa makini kununua kwani kuna fake copies nyingi sokoni.Aidha zote zinapatikana kwa urahisi sana dar. Kama utakuwa interested unaweza kuni pm.

ipo dogle ambayo ina update sever kwa GPRS .. unadumbukiza SIM card! niliongea na jamaa wanaotengeza wapo china wakanambia wao wanauza kwa whole sellers tu na sio end user.. ! na akanambia tanzania inafanya kazi perfect! ina unlock DSTV, MY TV, AL JAZEERZ.. NA ZILE CHANNEL ZA WAKUBWA ...
 
Viper,MBC haiusiani na AD ingawa zote zinapatikana kwenye sat moja Nilesat 201. MBC inapatikana kwenye sat Yahsat 1A @52degree East. Kwa kweli zipo gprs compatible dongle lakini binafsi sijaziona kwa kuwa sina interest nazo
 
Habari jf. Baada ya tathmini ya muda mrefu kuhusu masuala ya sat tvs na jinsi wa2 wanavyohangaika kutwa kucha kutafuta elimu hiyo, nimeona mimi nami kuanzisha mada hii ili niweze kuwafahamisheni kidogo ninachoelewa kuhusu masuala ya sat tv.

Kwa uzi huu utajishughulisha zaidi na sattelites gani zinapatikana maeneo ye2, jinsi ya kuweka sat dishes na sizes zake. Aidha nategemea kupata maswali kutoka kwenu ili niweze kutoa majibu. Mijadala imefunguliwa rasmi.

Natafuta decoder itakayonisaidia kupata all local channels
kwa urahisi na bila kulipia
 
The Boss, kama unaishi Dar unaweza kuchagua kati ya dvb-s2 na dvb-t2 decoders. Kama uko mikoani tafuta dvb-s2 decoder angalau ya mpeg4 kama vile strong srt 4669 series na Ting aal-003 (japo ni ghali kidogo kwa sasa tsh 325'000/=)mwakani tv channels zote za bongo nzilizokuwa free zitaendelea kuwa free.
 
The Boss, kama unaishi Dar unaweza kuchagua kati ya dvb-s2 na dvb-t2 decoders. Kama uko mikoani tafuta dvb-s2 decoder angalau ya mpeg4 kama vile strong srt 4669 series na Ting aal-003 (japo ni ghali kidogo kwa sasa tsh 325'000/=)mwakani tv channels zote za bongo nzilizokuwa free zitaendelea kuwa free.

naishi dar
tatizo sijui wapi nizitafute
na feki pia nyiingi
 
" THERE ARE THINGS IN LIFE THAT ARE DIFFICULT TO EXPLAIN...."

It's true Boss, that the existing words could not explain all phenomena we encounter that's why we sometimes shade tears to supplement what words could not explain.
 
Mavella,nafikiri utakuwa kwenye satellite nyingine na sio w3c kwani kuingana na FlySat Eutelsat 16A @ 16¡ã East Tv Madagaska haipo.Kama utatumia Freq hii 10804 H 30000 dvb-s2/8psk utaweza kupata tvs zote zinazorusha epl evry weekend.Jaribu pia kuzungusha lnbf clockwise/anticlockwise.

satellite ninayosema ndio hiyohiyo eutel 16A zamani ikijulikana kama W3C na tp ambayo nimeikosa ndio hii 10804 H 30000 hapo ndipo ilipo tv malagasy (madagaska) nimeipata kwa fr 11024 H 3330
 
The Boss, kama unaishi Dar unaweza kuchagua kati ya dvb-s2 na dvb-t2 decoders. Kama uko mikoani tafuta dvb-s2 decoder angalau ya mpeg4 kama vile strong srt 4669 series na Ting aal-003 (japo ni ghali kidogo kwa sasa tsh 325'000/=)mwakani tv channels zote za bongo nzilizokuwa free zitaendelea kuwa free.

Na vipi kuhusu OPEN BOX MPEG4 HD RECEIVERS zina uwezo sawa na ulizotaja hapo juu?
 
satellite ninayosema ndio hiyohiyo eutel 16A zamani ikijulikana kama W3C na tp ambayo nimeikosa ndio hii 10804 H 30000 hapo ndipo ilipo tv malagasy (madagaska) nimeipata kwa fr 11024 H 3330

Mkuu hiyo station ina programs gani nzuri..? Soccer!?
 
Mavella, kama ungo wako upo tayari kwenye eutelsat 16a basi jaribu kuzungusha lnb yako clockwise/anticlockwise na blindscan receiver yako.Aidha check decoder yako kama ni mpeg4 na inasapoti dvb-s2 8psk kwani freq 10804 h 30000 ni dvb-s2 8psk.

Hiyo freq 11024 h 3333 uliyoipata ni dvb-s1 mpeg2.Hata hivyo ninapata mshangao kwa vile frequence hii iko mbali sana na Tanzania,nihakikishie kama huishi Tanzania.Kwenye sat eutelsat 16a ni beams mbili tu ambayo Tanzania tunaweza kupata, Eutelsat 16A South East Africa na Eutelsat 16A Saharan Africa,ukitembelea hapa flysat.

Com/e16a-beam.php utaelewa nn namaanisha.
 
Mgjd, openbox S-series ni kifaa kizuri pia,bado naendelea kutafiti kama zinapatikana bongo.
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom