nurbert
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 1,887
- 427
mkuu eti kwenye kU band unaweza pata chanel za itv, eatv,channel 10, capital,tbc na star tv?
im not sure but mwaka jana nliipata tbc , then naskia na mozambique pia
mkuu eti kwenye kU band unaweza pata chanel za itv, eatv,channel 10, capital,tbc na star tv?
ku inakuwa upande wa emmanuel tv? Au kbc.. Na frequency pamoja na symbol rate zinazotumika ni zipi? Hata nikipata mozambique itanifaaim not sure but mwaka jana nliipata tbc , then naskia na mozambique pia
Na je ten sport ni FTA? je kwenye satellite gani? Na dish lielekee upande gani?
Na je ten sport ni FTA? je kwenye satellite gani? Na dish lielekee upande gani?
mkuu eti kwenye kU band unaweza pata chanel za itv, eatv,channel 10, capital,tbc na star tv?
ku inakuwa upande wa emmanuel tv? Au kbc.. Na frequency pamoja na symbol rate zinazotumika ni zipi? Hata nikipata mozambique itanifaa
Habari jf. Baada ya tathmini ya muda mrefu kuhusu masuala ya sat tvs na jinsi wa2 wanavyohangaika kutwa kucha kutafuta elimu hiyo, nimeona mimi nami kuanzisha mada hii ili niweze kuwafahamisheni kidogo ninachoelewa kuhusu masuala ya sat tv. Kwa uzi huu utajishughulisha zaidi na sattelites gani zinapatikana maeneo ye2, jinsi ya kuweka sat dishes na sizes zake. Aidha nategemea kupata maswali kutoka kwenu ili niweze kutoa majibu. Mijadala imefunguliwa rasmi.
hapa unatrack satellite gani naona kama lnb2View attachment 68296Niko nafanya majaribio kama naweza kuposti pics:eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows:
chanel hizo zinapatikana fta at 7WA magharibi ukiwa na ungo wa ku band angalau wa ft 5 na ricva hata ya mpeg2.