punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Thanks chief, nitashukuru kama utadadavua kidogo zaidi, hiyo software nitaipata wapi? Na hiyo cable uliyotaja ni tofauti na inayotoka kwenye dish? Na vipi receiver tofauti na media-com hazina hiyo makitu?Mimi sijui kutengeneza ila kitu kipo mtaani na watu wanafanya dishi la kawaida unaingiza software katika receiver (media com). Unaingiza na cable chungulia nyuma ya receiver utaona hio sehemu. Ukishaingiza hio software chanel za aljazeera zitaongezeka utapata aljazeera sport zote.
Aljazeera sport inaonesha mipira yote ya south america na pia kuna tetesi mwakani wakaonesha ligi ya uingereza kwa kuwapokonya licence abudhabi sport