Mbona umetaja pesa kidogo hiyo Dollar10 nitakupatia wewe Rudisha avatar yangu ninayoipenda...... King'asti Hizo pesa ni za Wauza Unga huko Kolombia Wamekamatwa na serikali ya Kolombia hizo Pesa ni Zaidi ya Milllion 500 Dollar. Naona ukizipata hizo utatakana wewe kuwa Rais wa Tanzania.........Avatar itarudi ila inabidi unishawishi kwanza. Nips hela Kama kg 10 za dollar then we will talk:redface:
Acha Umbeya wewe grafani11 Pita njia kama Gari lililojaa Magunia ya Mahindi ....................."M" na "K" nimeyapenda maongezi yenu. Ningeshangaa sana kama "M" na "K" mngekuwa hampatani. Kwikwikwikwikwikwikwikwi......... Tehetehetehetehetehetehetehetehe......
Jamani nilikuwa napita tu nikasikia mazungumzo yenu, Bye..
Ween vipi, hela nyingi hula hatuhesabu, yunapima uzito. Sijasema dollar 10, nimesema ziwe dollar kilogram 10. Do the needful nitarudisha avatar yako panda, japokuwa being faceless is solo nice aiseMbona umetaja pesa kidogo hiyo Dollar10 nitakupatia wewe Rudisha avatar yangu ninayoipenda...... King'asti Hizo pesa ni za Wauza Unga huko Kolombia Wamekamatwa na serikali ya Kolombia hizo Pesa ni Zaidi ya Milllion 500 Dollar. Naona ukizipata hizo utatakana wewe kuwa Rais wa Tanzania.........
Mimi nikizipata hizo, I will create a job for everyone in tanzania!! Hahhaah
Usinilinganishe na huyo, nihukumu mimi kama mimi!! By the way, do you know that one talented person can change the lives of milions people? If yes, then why not me? That's what I believe MadameX.Kuna mtu alisema hivyo hivyo almost 9 years ago, lakini hatuoni kitu!