Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Nimekianzisha chama cha United Liberal Movement (ULIMO). Lengo ni kuviunganisha vyama vyote vya siasa nchini katika kukiondoa CCM 2015. Bila kujali itikadi wala madaraka nataka kuunganisha nguvu ili CCM ianguke. Kama ikikubalika iwe hivyo panga safu ya viongozi hapa chini kuanzia m/kiti kwa kuangalia wanachama na viongozi mbambali wa vyama vya upinzani hapa nchini.
1. Mwenyekiti
2. Makamu mwenyekiti bara
3. Makamu m/kiti Zanzibar
4. Katibu mkuu
5. Naibu katibu mkuu bara
6. Naibu katibu mkuu Zanzibar
n.k
3.
1. Mwenyekiti
2. Makamu mwenyekiti bara
3. Makamu m/kiti Zanzibar
4. Katibu mkuu
5. Naibu katibu mkuu bara
6. Naibu katibu mkuu Zanzibar
n.k
3.