Baba Collins
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 502
- 106
Takukuru wenyewe ndio wala rushwa wa kwanza.
Na hata kesi wanazoendesha sijawahi kusikia walioshinda.
Takukuru wenyewe ndio wala rushwa wa kwanza.
hii issue mbona ya longil sana??
Yaani kipindi ulimboka anatuhumiwa kwa rushwa! Shaaban kado alikua kipa wa mtibwa!!
Ulimboka alikua mchezaji huru mwaka ukaisha,
akaja akachezea majimaji nao mwaka ukaisha,
kwa sasa yupo simba, walikua wapi hao takukuru???
Eti alikutwa na kama laki 3 hivi ambazo mwenyewe alidai anakwenda kumlipa deni lake kado!!
Wanawaachiaje wala rushwa wa mabilioni wanaotanua tu mjini?
Hii TUKUKURU haina kazi! Badala ya kwenda kuwakamata wezi na wahujumu wa uchumi wetu wanajipeleka kwenye mipira hiyo rushwa ya golikipa inaathiri vipi uchumi wetu; TUKUKURU mnajiaibisha
Chama
Gongo la Mboto DSM
inaathiriri sana ndo maana timu zetu hazifanikiwi kimataifa wachezaji hawafanikiwi kimataifa na hadi leo hatujawahi kushiriki kombe la dunia wachezaji wanafunga magoli kwa makipa kuwaachia baada ya kupewa mavumba!!Hii TUKUKURU haina kazi! Badala ya kwenda kuwakamata wezi na wahujumu wa uchumi wetu wanajipeleka kwenye mipira hiyo rushwa ya golikipa inaathiri vipi uchumi wetu; TUKUKURU mnajiaibisha
Chama
Gongo la Mboto DSM
Hii issue mbona ya Longil sana??
Yaani kipindi Ulimboka anatuhumiwa kwa Rushwa! Shaaban Kado alikua kipa wa mtibwa!!
Ulimboka alikua mchezaji huru mwaka ukaisha,
Akaja akachezea majimaji nao mwaka ukaisha,
Kwa sasa yupo Simba, walikua wapi hao TAKUKURU???
Eti alikutwa na kama laki 3 hivi ambazo mwenyewe alidai anakwenda kumlipa deni lake Kado!!
Wanawaachiaje wala rushwa wa mabilioni wanaotanua tu mjini?
inaathiriri sana ndo maana timu zetu hazifanikiwi kimataifa wachezaji hawafanikiwi kimataifa na hadi leo hatujawahi kushiriki kombe la dunia wachezaji wanafunga magoli kwa makipa kuwaachia baada ya kupewa mavumba!!
Na hata kesi wanazoendesha sijawahi kusikia walioshinda.
Na hata kesi wanazoendesha sijawahi kusikia walioshinda.
Takukuru wenyewe ndio wala rushwa wa kwanza.
hizi taasisi vipi takukuru.ewura.sumatra ni wizi mtupu sijui tanzania tunaenda wapi vyombo tunavyo na matatizo ndo yanazidi je visingekupo ingekuwaje?jaribu tafakari vina saidia nini?
Ndio ni kweli Liyumba alikwenda kutalii tu huko Ukonga na ndio maana alikuwa na simu ya mkononi!!Uliona toka lini na nchi gani mfungwa anakuwa na simu gerezani halafu anampigia mkuu wa nchi?Kwa hiyo Liyumba alienda kutalii tu gerezani?
vidagaa ukiviachia sana ndo vinavyokuja kuwa mapapa.TAKUKURU Bwana!! yaani badala ya kushughulika na papa wao wanashughulika na vidagaa!!!!