bakar shomar
Member
- Dec 6, 2013
- 53
- 54
Wadau naomba tujuzane... Ulikuwa upo katika hali gan siku ambayo dem au boy uliyekuwa unamuwinda kwa nguvu zote kukukubalia uwe nae kimapenz..
Kwahiyoooo hukupata ulichokusudiaaaNiliona hakuna mwanamke km mimi, alaf nimepata bonge la mwanaume, kumbe waaaiii
Sikupata mkuuKwahiyoooo hukupata ulichokusudiaaa
Dooh maneno haya niliambiwa hivi hivi yalivyoNikajua nimepata mume mwema sana .... Tena mpole mcha Mungu kumbe ni mbwamwitu aliyejivika ngozi ya kondoo yaaani matendo yake hadi shetani anayashangaaa .... Sijapata ona tangia niujue ulimwengu
Hahaha na alikukula baada ya muda ganiLini atanila
Hee kumbe shem alikuwa mla watuLini atanila
Kumbe uko huku na Unanisema!!Nikajua nimepata mume mwema sana .... Tena mpole mcha Mungu kumbe ni mbwamwitu aliyejivika ngozi ya kondoo yaaani matendo yake hadi shetani anayashangaaa .... Sijapata ona tangia niujue ulimwengu
Mchezo hawezi au? FafanuaNiliona hakuna mwanamke km mimi, alaf nimepata bonge la mwanaume, kumbe waaaiii