Walevi waliokota kioo
Mlevi mmoja: Kakitizama kioo kwa muda halafu akasema "Hii sura sii ngeni ila jina silikumbuki."
mwenzie akachukua kioo kuangalia
akasema: "We mlevi kwelikweli, si mimi huyu, halafu unajidai hunijui...?
"Dah!...ulevi noma"
[h=5]Mlevi alikuwa anakojoa kando ya barabara, mgambo akamzukia;
MGAMBO: We acha kukojoa funga zipu haraka. Mlevi akafunga zipu haraka, mgambo akaondoka. Mlevi akaanza kucheka
JIRANI: Sasa unacheka nini?
MLEVI: Mi mtoto wa mjini bwana, yaani nimemdanganya mgambo hivihivi?
JIRANI: Umefanya nini?
MLEVI: Nimefunga zipu lakini nikaendelea kukojoa kisiri kwenye suruali mpaka nimemaliza, na yule **** wala hakutambua.[/h]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.