Rikab Mikail
Member
- Jun 7, 2009
- 16
- 0
Naomba kuuliza. Je, Mlemavu lazima awe ombaomba?
Kila ninaposimama kwenye mataa za kuongozea magari kwenye barabara za Dar ninakuta walemavu wana omba wakigongagonga madirisha za magari na kunyosha mikono. Je, hii hali inawezekana kubadilishwa/kubadilika?
Kila ninaposimama kwenye mataa za kuongozea magari kwenye barabara za Dar ninakuta walemavu wana omba wakigongagonga madirisha za magari na kunyosha mikono. Je, hii hali inawezekana kubadilishwa/kubadilika?