Tetere Enjiwa
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 217
- 65
Wakiwa na Katibu Mwenezi wa chama chake alitoa wito kwa wanaharakati hasa wanawake kulaani kitendo cha dc wa igunga kufumaniwa na viongozi wa cdm akitaka kubaka demokrasia. Chakushangaza hata sophia simba anazungumzia rais mwananke sio hili la dc, tunapata picha gani hapa. Nawakilisha wenu katika kuleta na kupigania mabadiliko TZ.