habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
Waache waendelee kujitoa ufahamu kwa vipande vidogo vya fedha, ghadhabu ya Mungu yawagonjaKweli kabisa mkuu hawa jamaa wa lumumba kuna vitu wanatetea utadhani wao siyo watanzania
Waache waendelee kujitoa ufahamu kwa vipande vidogo vya fedha, ghadhabu ya Mungu yawagonjaKweli kabisa mkuu hawa jamaa wa lumumba kuna vitu wanatetea utadhani wao siyo watanzania
Well said Waafrika kila kitu wanamsingizia mzungu kweli Africans are whitemen's burden naona Mzungu anamjutia Mungu kutuumba maana alitutumikisha kama watumwa tukalia akaacha, akaja akatutawala kama makoloni tukalia weeeeeee akatupa Uhuru, leo tunavuruga wenyewe nchi zetu bado kosa la mzungu!!!! Kweli kasheshe...Kwani wazungu ndio wanawatuma muibe rasilimali za taifa lenu?ndio wanawatuma muibe na kutafuna kodi za watanzania? Hivi wale wanyama hai mlio waiba na kuwapakiza kwenye ndege mlitumwa na wazungu?
Ulaya sijui wamemgomea Magufuli nini.
Nashangaa kuiona hii hapa mitaani katika gazeti la Nipashe wakati katika TBC redio haikutajwa na yule mtu aliyekuwa anasoma magazeti.
Nadhani ndio inaitwa uzalendo wa watangazaji wa TBC
=====
No sanctions for us pliz! Sina ukereketwa wa chama chochote na sioni kwa nini mimi na familia yangu tuumie kwa ajili ya watu wanaong'ang'ania madaraka. No! No! No! Imetosha. Wengine tulioenda mstari ulionyooka kwa miaka kumi tulipata matumaini alipoingia Magufuli. Fikra za halali au haramu tulizisukuma nyuma kabisa. Tulishangilia kwa nguvu zote sio tu kwa kumkaribisha mgeni bali pia kuondoka kwa mwenyeji.Acha wamgomee tu hakuna namna, hata viwavi tutakula mbona Dodoma wamekula Na wanaishi
Kama JPM hana mamlaka ya kikatiba kutoa maelekezo kwa Zanzibar kuhusu mgogoro huu sasa hao EU na wenzake wanamsumbulia nini?
Kule hawongei kidhunguu?Hizi nchi za magharibi zinadharau sana nchi za kiafrika na sisi tunachangia sana kwa kuwabembeleza. Mifano ipo mingi na mmoja ni kwamba Tanzania ilipewa adhabu kubwa kwa kushabikia na kujiingiza kwenye mapambano ya kusini.
Kwa sasa wala siyo ishu kwani duniani sasa kuna economic power ya mashariki.
Ningekuwa mshauri wa JPM ningemwambia anyamaze na aende kule linapochomoza jua.
Imekula kwenu mwaka huuwambieni EU wasome katiba ya zanzibar ndio watoe migomo yao
Mcc hiyo imesha ota mbawawagome tu,hawatusumbui hata kidogo.hawana haki ya kutuamulia cha kufanya.kama ni vimisaada vyao wavikate tuu..
Ingawa nayo EU imeficha maovu yake kwa mwavuli wa maendeleo yake, kwamba kwakua wao wanajiweza kiuchumi basi hata baya kwao ni sahihi na yale yetu yote ni mabaya kwakua sisi tumechelewa kupata maendeleo kwa fitna zao basi hata akili ya kujiamulia mambo yetu tena haipo, na kila wanalotuambia wao ni vyema tukalifanya hatupaswi kulikaidi. Huyo ndio Mzungu.