wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 554
wambieni EU wasome katiba ya zanzibar ndio watoe migomo yao
ni wakati sasa wa kuja na ID yako original unaweza pata kazi LumumbaSasa na wewe umeandika nini hapa?
Kwanza kile kipinde cha magazetini wangeacha na kukifuta kama walivyofuta Bunge. Kwani hata yale magazeti ni live na kushindwa kusoma kitu kinachoonekana na mtazamaji live ni mateso kwa mtangazaji mwenyewe eti kisa kuwafurahisha wakubwa. Wafute tuu ili wafurahi, siku hizi hata mitandaoni tunayasoma.Yule mkurugenzi wa tbc naamini hawatendei haki watanzania walipa kodi ambayo ndio mshahara wake
aanze kwanza jecha na shen kuisoma afu watuambia je uchaguzi wa october umefutwa?!wambieni EU wasome katiba ya zanzibar ndio watoe migomo yao
Huo ndio utamaduni wao mkuu,wakati wa kuelekea kwenye uchaguzi mwaka jana kuna member wa jf alileta pia malalamiko ya mtangazaji wa tbc jinsi alivyokuwa anaruka habari zilizokuwa zina mhusu lowasa,haya matangazaji sijui kwa tabia zao hizi kama yakitoka tbc yanaweza kwenda tv station nyingineKwanza kile kipinde cha magazetini wangeacha na kukifuta kama walivyofuta Bunge. Kwani hata yale magazeti ni live na kushindwa kusoma kitu kinachoonekana na mtazamaji live ni mateso kwa mtangazaji mwenyewe eti kisa kuwafurahisha wakubwa. Wafute tuu ili wafurahi, siku hizi hata mitandaoni tunayasoma.
Mkuu apate kazi mara ngapi tena?alipombeba prince na kupiga kikongwe wa siasa hapa nchini ndio akapewa ako kanafasini wakati sasa wa kuja na ID yako original unaweza pata kazi Lumumba
swissme
Kwani wazungu ndio wanawatuma muibe rasilimali za taifa lenu?ndio wanawatuma muibe na kutafuna kodi za watanzania? Hivi wale wanyama hai mlio waiba na kuwapakiza kwenye ndege mlitumwa na wazungu?Ingawa nayo EU imeficha maovu yake kwa mwavuli wa maendeleo yake, kwamba kwakua wao wanajiweza kiuchumi basi hata baya kwao ni sahihi na yale yetu yote ni mabaya kwakua sisi tumechelewa kupata maendeleo kwa fitna zao basi hata akili ya kujiamulia mambo yetu tena haipo, na kila wanalotuambia wao ni vyema tukalifanya hatupaswi kulikaidi. Huyo ndio Mzungu.
Wewe unaishi hapa tanzania kwa matazamio kwani kwenu amani ikurudi unatimka na kutuwacha sisi wabongo na njaa zetu huku watoto wakifa kwa kukosa madawaKwahio wakimgomea
Kuna tatizo gani!
Minaona wakazane kugoma
Mkuu hawa watu wa ajabu sana, yaani hicho kituo wamefanya ni Mali ya CCM hata wananchi tumefanywa Mali ya CCMYule mkurugenzi wa tbc naamini hawatendei haki watanzania walipa kodi ambayo ndio mshahara wake
Hawa hawa mkuu, afu wamenona kweliKama huyu au kuna wa aina nyingine?View attachment 322489
mwekitiki wao aliapa kuwa vijana 46 wa ccm mtandaoni wamechoka hadi ubongo zao hazifanyi kazi waangaliwe.Mkuu apate kazi mara ngapi tena?alipombeba prince na kupiga kikongwe wa siasa hapa nchini ndio akapewa ako kanafasi
Kwani wazungu ndio wanawatuma muibe rasilimali za taifa lenu?ndio wanawatuma muibe na kutafuna kodi za watanzania? Hivi wale wanyama hai mlio waiba na kuwapakiza kwenye ndege mlitumwa na wazungu?
Kweli kabisa mkuu hawa jamaa wa lumumba kuna vitu wanatetea utadhani wao siyo watanzaniaeti tumechelewa kupata maendeleo kutokana na fitina za wazungu...khaaaa...eti haki ya kujiamulia mambo yetu... tena saa nyingine ni afadhali hata wazungu wanapoingilia hayo mambo yetu...maana bila hivyo tungekuwa tumeshaanza kulana nyama na ingekuwa ni utaratibu wa kawaida tu... refer issue ya albino ilivyokuwa imetupwaga kapuni alafu refer issue ya babu wa loliondo ilivyopata support ya serikali...
Kweli kabisa mkuu hawa jamaa wa lumumba kuna vitu wanatetea utadhani wao siyo watanzania