BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
Nguvu hizi hivi siku hizi ni janga jamani lol
Ulaji wa chakula aina ya chipsi kwa wanaume husababisha upungufu wa nguvu za kiume.Taarifa hii nimeipata Mlimani tv nilipokuwa naangalia kipindi cha Jarida la habari,hivyo wanaume wanashauliwa kutopendelea kula chipsi,pia ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi huweza pia kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.Wanaume tuwe makini ili kuepukana na tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume.
Hakuna ukweli wowote hapo looking at the Food Content its purely CHO (Carbohydrate) au kwa kiswahili wanga na wanga upo kwenye vyakula vyote! nafikiri ukuelewa vizuri hilo somo! Na kwa taharifa yako Carbohydrate ni source of energy. Lakini sio ajabu inawezekana ulikuwa unaangalia iyo habari ukiwa na bia mdomoni kama sio mkononi.
Huwezi kuacha kutumia mafuta sababu nayo ni source of energy mwilini, unachotakiwa kufanya ni kama Speaker alivyoshauri hapo juu, mafuta yatakuja tu hata ule ugali, nyama n.k, so tafuta namna ya kuyaondoa.Nadhani tatizo hapo saio viazi bali ni hayo mafuta yanayokaangia viazi ndo yanayoleta shida.Nakubaliana na wale waliosema kuwa wanaume inabidi tuepuke sana vyakula vyenye mafuta kwa wingi na pia mazoezi ni muhimu ili kufanya damu iweze kuflow vizur kwenye maeneo yote ya mwili hasa maeneo nyeti.
Jamani acheni kutishana. Mi mbona nimekula chips miaka nenda rudi na mambo ni mwendo mdumdo tu?!
Naona zile mila za kizamani za kuzuia wanawake wajawazito kutokula mayai eti watazaa watoto wenye vipara zimeanza kurudi kwa mlango wa nyuma.
Chipsi siyo tatizo, mafuta ndiyo haswaaaa tatizo! Cha kufanya baada ya kula chipsi, PIGA KONYAGI NA PILIPILI NYINGI
Basi waanga wakubwa watakuwa ni wakaazi wa Yuropa na Amerika ya kaskazini, maana uko ndio zinalika sana.]Ulaji wa chakula aina ya chipsi [/B]kwa wanaume husababisha upungufu wa nguvu za kiume.Taarifa hii nimeipata Mlimani tv nilipokuwa naangalia kipindi cha Jarida la habari,hivyo wanaume wanashauliwa kutopendelea kula chipsi,pia ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi huweza pia kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.Wanaume tuwe makini ili kuepukana na tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume.
Km zimepungua tafuna TIKITI MAJI japo vipande 2 kila siku zitarudi zenyewe.
Ulaji wa chakula aina ya chipsi kwa wanaume husababisha upungufu wa nguvu za kiume.Taarifa hii nimeipata Mlimani tv nilipokuwa naangalia kipindi cha Jarida la habari,hivyo wanaume wanashauliwa kutopendelea kula chipsi,pia ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi huweza pia kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.Wanaume tuwe makini ili kuepukana na tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume.
Speaker the way tu unavyotingisha kichwa katika avatar yako inaonesha unapenda... Acha longolongo ina maana unataka uwe unatumia V???
Asante mkuu tatizo sio viazi, hata hayo mafuta sio tatizo ila inategemea yanatumiwaje kwenye viazi hapo ndipo tatizo linapoaanziaNyie mnataka biashara za watu zife sasa duh!! Hii research haijakamilika maana huwezi kuamka na kusema chipsi zinapunguza nguvu za kiume bila kutoa sababu na jinsi gani ya kuepuka ilo swala.