karibu Airtel kaka, Hakika utajuta.
Hata kwenye simu za kawaida internet ya tigo haipatikani kwa wiki sasa. Natumia internet ya Airtel kwenye simu yangu ya kawaida (siyo blackberry)
hivi blackberry sio simu ya kawaida eeh!
hivi blackberry sio simu ya kawaida eeh!
hivi blackberry sio simu ya kawaida eeh!
hilo swali linanipa shida.
Linapokuja swala la kutumia net kwa simu basi ujue BB sio "simu ya kawaida"sifaa za kijingaa.... Zinaniboa sana