uliamini vipi kuwa ile ulionyeshwa na polisi si ya kweli..Ama chadema nao wanaichakachua kuweka matukio ambayo hayakuwepo.tutaamini vipi kama hiyo cd ndo hali halisi ktk tukio?
uliamini vipi kuwa ile ulionyeshwa na polisi si ya kweli..
Wewe 10/10Umefeli 0/10 .
Wewe 10/10
Ukweli tutaujua mahakamani sio propaganda nyingine yoyote, alie kaidi amri ya jeshi duniani kokote hukumu yake inaeleweka na imani na mahakama ya tanzania watakuwa seriouse na kesi hii ya kuvuruga amani
Ukweli tutaujua mahakamani sio propaganda nyingine yoyote, alie kaidi amri ya jeshi duniani kokote hukumu yake inaeleweka na imani na mahakama ya tanzania watakuwa seriouse na kesi hii ya kuvuruga amani
Yaani mi ndo ningekua kikwete nine resign Zamani nipumzike ...maana mojarra haikai mbili haikai