Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Habari jamvini JF!.
Nimekua nasikia maneno mengi kuhusu ndoto mbali mbali...
Wasomi na wasio wasomi wakijadili hili swala la ndoto.
Nami nimefurahi japo nitoe mchango wangu kuelimisha ni nini maana ya Ndoto na zinz mafungu mangapi?
Naamini tukifahamu hayo itawasaidia wengi kuelewa.
Pia Ndoto na maana au faida zake zimeelezwa kwenye vitabu vitukufu.
Unakaribishwa uweke mchango wako humu au maswali ntajitahidi kujibu vile ntaweza...
Nawakilisha.
Nimekua nasikia maneno mengi kuhusu ndoto mbali mbali...
Wasomi na wasio wasomi wakijadili hili swala la ndoto.
Nami nimefurahi japo nitoe mchango wangu kuelimisha ni nini maana ya Ndoto na zinz mafungu mangapi?
Naamini tukifahamu hayo itawasaidia wengi kuelewa.
Pia Ndoto na maana au faida zake zimeelezwa kwenye vitabu vitukufu.
Unakaribishwa uweke mchango wako humu au maswali ntajitahidi kujibu vile ntaweza...
Nawakilisha.