Wataalam wanashauri eti ukimpenda mtu na hamtaki kufanya kale kamchezo basi mkumbatiane na kushikana mikona na ham itaisha je kunaukweli?
hahaaaaaaaaaaaaaaaaJaribu mkiwa chumbani alafu uone!
ni kweli ata kuangaliana tu inatosha
ni kweli ata kuangaliana tu inatosha
Umenyimwa alafu ndio ukaambiwa ukimshika mkono ham itaisha?Wataalam wanashauri eti ukimpenda mtu na hamtaki kufanya kale kamchezo basi mkumbatiane na kushikana mikona na ham itaisha je kunaukweli?
ni kweli ata kuangaliana tu inatosha