Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
- Thread starter
- #81
Kuhusu 6 X 6 najua wanaume in most round wanakuwa satisfied 100% Mimi sina haja ya kumwambia level ya satisfaction yangu kwa kuwa jamaa anajua kabisa ku evaluate kazi alofanya. Ila huwa namsifia saaana akifanya kazi yake ipaswavyo kwa sababu najua ina mfanya a feel good. Akiifanya vibaya sisemi kitu ni yeye mwenyewe ndo anakiri kuchemka na mimi naongezea tu kuwa asijali we can do it better next time..
Fweza yangu ni yak hivyo hata dili nalopiga nje ya mshahara huwa naiweka wazi. tuna joint account. Mimi pesa hazinichukulii muda kwenye uhusiano.
Current dubious relationship??? I don't have and never had any. Na sitegemei hata yeye akiwa nayo anambie I have to do my research to know. Ila napenda kukiri kuwa kuna siku jamaa alikiri kuwa na crush na mdada nadhani ilikuwa first experience kwake na ilimuumiza so we had to abstain mpaka acheki afya yake. Kwa kweli I was speechless na nilishindwa hata kumsema kwani he was crying; mpaka leo ni years nimeshindwa kuuliza details za hiyo one night stand naogopa kuonekana kero kwani alikiri mwenyewe angeweza kunificha tukafa na ngoma so at least kukiri kwake kumenifanya nimuone ananijali.
Nimekuvulia kofia....
Hapo kwenye confession...Kweli alifanya hivyo??
May be huyo jamaa yako ni malaika fulani...inawezekana pia akavunjwa mwiko ...kwama baadhi ya wezi wanaweza kustaafu kabisa!!