Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
- Thread starter
- #41
Nilipo kuna baridi... Hivo nimehakikisha nina heater.... Hio si nayo kuota moto?? (alafu umenipoteza.. whats it with tendo lenyewe na kuota moto)
Hivi umewahi kuishi na bibi/babu kweli wewe???
Huwa wanamwaga data hadi unashangaa....
Kuna mmoja kule Tabora alisikika redioni akisema kuwa wadada wa siku hizi wamesahau kuwapa lishe bora waume zao..Kwamba enzi zao mwanamume walikuwa analishwa kama dume la kafara ili aweze kuchapa mzigo kisawa sawa!!
Halafu huwa ni wazuri sana katika kueleza miiko ya kitandani vizuri (the dos and vice versa)!! Mfano..watakueleza kuwa ni marufuku kwa mwanamke kufumbua macho wakati wa majamboz...!!!