Ndiyo njia ambayo wote tutapitia, wewe unafikiri utaendele kunywa bia tu!!!!!!!!! Angalia ajali zimejaa kila kona na kagari kako ambako hujamaliza mkopo.R.I.P Mtoa Mada>
CDM hawapo sahihi, yapo mapungufu ya kisheria ambayo wanatakiwa kulalamikia otherwise hawana mlango wa kutokea katika uchaguzi ule!I dont know! So was the whole wrong or right? is Chadema Wrong or right?
Kuna aina nyingi za Rula,kuna zizonyooka na zilizopinda.nafikiri hii ni aina ya Rula iliyopinda!!Hiyo RULA imepinda!
Lete habari wewe ni sehemu gani haikuingii akilini, naamini bado upo gizani na jambo usilijua litakusumbua sana.