Ukweli usioujua kuhusu uchaguzi wa meya jijini Arusha

Utaratibu unasema theluthi mbili ya wajumbe wawepo (i stand to be corrected),kama hawakushiriki,the whole thing does not make sense whether waliingia wakatoka wakarudi matokeo yakitangazwa,nakubaliana na wewe sheria haiko clear na CCM wanalijua hilo,lakini kwa upande mwingine,unafikiri mahakama ingetoa haki kwenye nchi hii ambapo CCM bado wana say kwenye kila chombo pamoja na mahakama??? Ngoja kuwe na separation/independence ya state organs then muwe na guts za kusema nendeni mahakamani.............i like your analysis though!
 
Chonde chonde wana chadema. someni alama za nyakati. Kama nilivyowahi kusema huko nyuma chadema wametengeneza uadui na mamlaka inayotawala kwa hiyo wasitarajie mteremko katika mambo yao. Inapofikia unasusa hata sherehe za UHURU wa nchi yetu basi jua matokeo ya baadaye na ujiandae vilivyo.

Msitarajie kuwa watakaokufa na kuumia kwa sababu ya propaganda zenu za kuingia IKULU kwa nguvu na umwagaji damu ni raia wasio na hatia pekee bali hata viongozi , watoto ,wake na au mahawara wao pia yatawapata madhara. Kuweni waangalifu sana na mtii amri/ushauri wa mamlaka inayotawala. Kama kuna mambo hayaendi sawa basi tumieni njia za kistaarabu pamoja na kwenda mahakamani kudai haki. Nabii SULEIMAN alisifika kwa HEKIMA na sio VISASI NA KUSUSA kike kike.

Chonde chonde, japo tunajua wazi kuwa KANISA lipo nyuma yenu lakini Watanzania wapenda AMANI hatuko tayari kuona kikundi kidogo kikiharibu usalama na amani ya nchi yetu.

Siku ikifika hayo mahekalu na madhabahu wanayojifichia yatageuka kuwa ndiyo makaburi yenu na yao pia. Rwanda sio mbali na 1994 sio mbali pia. Mtakumbuka kuwa maiti nyingi zilikutwa Makanisani. Tugeuke nyuma na tuangalie wapi tumejikwaa. Akili za kuambiwa changanya na zako!

Naandika haya nikichelea kuwa pasije kusemwa: "HAPAKUWEPO WENYE HEKIMA NDIO MAANA TUMEANGAMIA".
 
ndugu yangu sasa wanaotakiwa kupiga kura kumchagua meya ni makatibu wa vyama au madiwani wa eneo husika!huyo mary chitanda unayemtetea ni diwani wa arusha au tanga! Ninachoona mimi nikuendelea kujichanganya2 kama unadhani ccm wanaweza chagua kiongozi yeyote wa chama, achague meya sehemu yoyote watakako ndugu yangu naanza kuwa namashaka na uwezo wako wa kufikiri.
 

Ni kama vile umetoka kunywa maniii na kuja kuandika upuuzi wako hapa. Hunajipya ww kaa kimya.
 
Chonde chonde wana chadema. someni alama za nyakati. Kama nilivyowahi kusema huko nyuma chadema wametengeneza uadui na mamlaka inayotawala kwa hiyo wasitarajie mteremko katika mambo yao. Inapofikia unasusa hata sherehe za UHURU wa nchi yetu basi jua matokeo ya baadaye na ujiandae vilivyo.

Msitarajie kuwa watakaokufa na kuumia kwa sababu ya propaganda zenu za kuingia IKULU kwa nguvu na umwagaji damu ni raia wasio na hatia pekee bali hata viongozi , watoto ,wake na au mahawara wao pia yatawapata madhara. Kuweni waangalifu sana na mtii amri/ushauri wa mamlaka inayotawala. Kama kuna mambo hayaendi sawa basi tumieni njia za kistaarabu pamoja na kwenda mahakamani kudai haki. Nabii SULEIMAN alisifika kwa HEKIMA na sio VISASI NA KUSUSA kike kike.

Chonde chonde, japo tunajua wazi kuwa KANISA lipo nyuma yenu lakini Watanzania wapenda AMANI hatuko tayari kuona kikundi kidogo kikiharibu usalama na amani ya nchi yetu.

Siku ikifika hayo mahekalu na madhabahu wanayojifichia yatageuka kuwa ndiyo makaburi yenu na yao pia. Rwanda sio mbali na 1994 sio mbali pia. Mtakumbuka kuwa maiti nyingi zilikutwa Makanisani. Tugeuke nyuma na tuangalie wapi tumejikwaa. Akili za kuambiwa changanya na zako!

Naandika haya nikichelea kuwa pasije kusemwa: "HAPAKUWEPO WENYE HEKIMA NDIO MAANA TUMEANGAMIA".
Mkuu una haki ya kueleza haya.....lakini kwa sababu umeweka udini mbele na umeibagua chadema kupitia kanisa...i consider you as ignorant person....ingekua inaruhusiwa kutukana humu ningetukana matusi ambayo nadhani yangekata hata network.
 
Sasa mzee wa rula maelezo yako tumeyaona....
Tunaomba utueleze ni nini kilipelekea mpaka polisi wampige mh. mbunge wa arusha mjini mpaka akalazwe hospitali??
Je mbunge au mtu mmoja anaweza kusababisha vurugu mpaka polisi wampige kiasi hicho?
Mbona polisi wa arusha hawana adabu???
 
Mtoa Mada umewakilisha vizuri mada yako isipokuwa tu sio sahihi kwa kiasi kikubwa....kwa mtu ambaye hajui ukweli wa hii mambo anaweza akakuamini. UPDATE YOUSELF
 
Mkuu una haki ya kueleza haya.....lakini kwa sababu umeweka udini mbele na umeibagua chadema kupitia kanisa...i consider you as ignorant person....ingekua inaruhusiwa kutukana humu ningetukana matusi ambayo nadhani yangekata hata network.

Ukweli una umaaaaaaaa!
 
Sasa mzee wa rula maelezo yako tumeyaona....
Tunaomba utueleze ni nini kilipelekea mpaka polisi wampige mh. mbunge wa arusha mjini mpaka akalazwe hospitali??
Je mbunge au mtu mmoja anaweza kusababisha vurugu mpaka polisi wampige kiasi hicho?
Mbona polisi wa arusha hawana adabu???
Mbunge alipanda juu ya meza na kuunza kuporomosha matusi kwa madiwani wa ccm na polisi walipo taka kumtuliza akaongeza idadi ya matusi kwa polisi! Polisi waka amua kumpa adabu asiyefunzwa na mamaye!
 
Kwa watu wenye kuelewa maana ya kuchagua kiongozi kama yule na ili uchaguzi uwe huru inatakiwa kuwepo na ukomavu wa kisiasa na maadili. Kwanza kabisa ni kutokomaa kisiasa kuona kuwa wajumbe wote wa CCM au hata wa CDM wanachagua mtu wao tu! Ningeona kukomaa kama wa chama kimoja angemchagua mjumbe wa chama kingine siyo kwa sababu za kichama ila kwa kumwona kuwa ndiye atakayefaa kuongoza. Na kama uchaguzi unapelekea chama kimoja kujichgua chenyewe bila hata wajumbe wengine na wachama kingine chenye wajumbe karibu nusu nzima ya wanaotakiwa kupiga kura, basi huo ni udhaifu usiohitaji hata maelezo. Tena sichelei kuuita ni ubabe wa uzoefu. Ndiyo maana ulizaa maafa. Ni lazima ukemewe kwa nguvu zote. Nchi siyo ya chama kimoja. Ni lazima vyama viache tabia za kibabe. Na vianze mara moja kuheshimu wananchi wa Tanzania ambao wanazidi kuwa maskini kila kukicha. Kitendo hiki siyo cha kutetea hata kidogo maana haklijaongeza tija kwa jiji la Arusha na wananchi wake kwa ujumla wake.
 
Kwa watu wenye kuelewa maana ya kuchagua kiongozi kama yule na ili uchaguzi uwe huru inatakiwa kuwepo na ukomavu wa kisiasa na maadili. Kwanza kabisa ni kutokomaa kisiasa kuona kuwa wajumbe wote wa CCM au hata wa CDM wanachagua mtu wao tu! Ningeona kukomaa kama wa chama kimoja angemchagua mjumbe wa chama kingine siyo kwa sababu za kichama ila kwa kumwona kuwa ndiye atakayefaa kuongoza. Na kama uchaguzi unapelekea chama kimoja kujichgua chenyewe bila hata wajumbe wengine na wachama kingine chenye wajumbe karibu nusu nzima ya wanaotakiwa kupiga kura, basi huo ni udhaifu usiohitaji hata maelezo. Tena sichelei kuuita ni ubabe wa uzoefu. Ndiyo maana ulizaa maafa. Ni lazima ukemewe kwa nguvu zote. Nchi siyo ya chama kimoja. Ni lazima vyama viache tabia za kibabe. Na vianze mara moja kuheshimu wananchi wa Tanzania ambao wanazidi kuwa maskini kila kukicha. Kitendo hiki siyo cha kutetea hata kidogo maana haklijaongeza tija kwa jiji la Arusha na wananchi wake kwa ujumla wake.
Ubabe huo upo, kura saizi ni kama zilipigwa kishabiki. Nadhani CDM kama wangekuwepo kulikuwa na uwezekano wa hilo ulisema kutokea lakini mpo 17 tena 16 wa chama kimoja kudhibitiana kulikuwa kukubwa sana.
 
Mkuu una haki ya kueleza haya.....lakini kwa sababu umeweka udini mbele na umeibagua chadema kupitia kanisa...i consider you as ignorant person....ingekua inaruhusiwa kutukana humu ningetukana matusi ambayo nadhani yangekata hata network.

Kaka nashukuru kwa kuchanganya na akili zako. Umeonyesha ukomavu. Nimependezwa na hayo maneno yako ya chini. Ndicho nilichokisudia! Pitia maneno yangu ya chini hapa na uangalie ili picha ya sky scraper kisha yapime maneno yangu.

ukinitukana sikujibu! Ada ya mja si matusi muungwana ni vitendo!
 
wana jf najua ni wengi wanajiuliza maswali mengi juu ya uhalali wa uchaguzi wa meya wa jiji la arusha ambao umekuwa mjadala mpaka leo. Swali wengi wanalojiuliza je uchaguzi ulikuwa halali au si halali?
Nataka niweke wazi uchaguzi ule ulikuwa halali kabisa na taratibu zilifuatwa kabisa. Kabla ya uchaguzi kufanyika kulikuwa na utata wa mjumbe mmoja wa ccm mary chitanda kupiga kura kwa sababu yeye si mwakilishi wa mkoa wa arusha. yeye ni katibu wa ccm mkoa wa arusha lakini kwa sasa yeye ni mbunge wa viti maalum mkoani tanga. Ccm ilikuwa na wajumbe 15 ie madiwani na huyo mwenye utata 1 jumla ni 16. Cdm ilikuwa na wajumbe 14 pamoja na g. Lema mbunge.
Utata huu ulipelekea kuomba ufafanuzi, na ufafanuzi ulipatikana kuwa mjumbe yule yaani mary chitanda alikuwa halali kwa maandishi na siyo mdomo kwa vyama vyote, hiyo ilikuwa siku ya pili baada ya kuahirisha uchaguzi jana yake.
Hilo ndiyo jambo kuu lilikuwa likibishaniwa. Sasa endapo jambo hili lilipatiwa ufumbuzi kwa maandishi inakuwaje leo hii viongozi wa cdm waendeleze malumbano jukwaani?
Ni jambo lisilofichika kwa nini mary chitanda asiende kupiga kura tanga badala yake arusha. Hilo ndilo suala la msingi kabisa lakini majibu yake vile vile kisheria hakuna kipengele kinachomkataza kupiga kura kwani bado ni kiongozi wa wanaccm arusha, na kuzingatia sheria haimbani ccm wakaonelea basi ni vema wakaitumia loopwhole hiyo.
Tuachane na ubishi kama sheria haimkabi basi cdm hawana haja ya malumbano. Machoni pa watu itaonekana si halali lakini mbele ya sheria inaonekana sawa. Katika uchaguzi wa urais hakuna mahakama yenye uwezo wa kutengua mara baada ya matokeo kutangazwa na tume ya uchaguzi. Hapa tunajifunza mapungufu ya sheria zetu za bongo. Hili ni jambo lisilopingika kabisa na kwa hili linahitaji mabadiliko.
Uchaaguzi umekwisha na meya keshapatikana sasa kama sheria zilikikwa basi tukapate haki yetu mahakamani na siyo kwa mashinikizo ya jukwaani.
Cdm ni chama makini lakini kimepotoka kwa hili kwa ndiyo maana yake hawataki kwenda mahakamani kwa sababu wanajua hawana jipya. Kinachofanyika saizi ni propaganga ya sintofahamu ya tukio hili kwa wananchi!
Ni kweli mara baada ya kupewa taarifa ya uhalali wa mary chitanda cdm walitoka nje kujadili wakawaacha wajumbe wengine 17 wakiwa ndani na kipindi hicho walishasaini tayari column ya mahudhurio! Ilipoonekana wamechelewa kurudi ccm hapo ndipo walipocheza rafu kwa kuendesha uchaguzi kwani tayari walikuwa na sababu zote za kushinda kesi. Sijui ni daftari au niiteje umesaini, kisha umetoka nje kujadili basi jamaa wakaendelea ndani na uchaguzi. Cdm walishituka pindi matokeo yanatangazwa na kuja ukumbini wakiongozwa na mbunge wao lema wakaambiwa nyie si mmesusia uchaguzi basi endeleeni ila viongozi wamepatikana.
Huo ndiyo ukweli wa uchaguzi wa meya arusha.
Kwa kuwa ukweli huu umejificha kauli nyingi za kulaani zilitokea na kuzidi hasa baada ya maandamano kuzuiliwa na kupeleka vifo.
Kauli za kiburi toka kwa viongozi wa ccm akiwemo makamba zikaamsha hisia kali. Ccm ni kama walikuwa wanawakebehi cdm kwa sababu walijua hawana pa kushika mahakamani na ndiyo maana wanawashinikiza viongozi wa cdm waande huko ili haki ijulikane.
Usichokijua ni hiki, kwa nini wasiende mahakamani wafungue kesi kisha waitishe maandamano ili kushinikiza haki ya kusikilizwa kesi upesi. Kukataa kwao kwa kisingizio mahakama haitatenda haki kunatilisha mashaka na waelewe kuwa mashinikizo yao hayana direct impact badala yake yanawapa changamoto viongozi wa ccm.
mwisho naalani kwa kauli moja kuwa nguvu iliyotumika kuzima maandamano yale ilikuwa kubwa mno na viongozi wetu wa serikali waache kutumika kisiasa. La arusha latosha kuwa funzo.
Kikwete zlisema tukio la arusha ndiyo mwanzo na mwisho naomba iwe kweli ingawaje nasikia mbeya vijana wake wamekwisha ua tena!!!
Md usiichangane na thread yoyote ile, iweke ili watu wajue na ku challange pale wanapoona siyo sahihi.
non sense!!!
 
Mtoa Mada umewakilisha vizuri mada yako isipokuwa tu sio sahihi kwa kiasi kikubwa....kwa mtu ambaye hajui ukweli wa hii mambo anaweza akakuamini. UPDATE YOUSELF
Nashukuru kwa ushauri lakini kwangu mimi kulingana na vyanzo vyangu nafahamu hivyo. Nipm kwa update hizo.
 
Hujuma hizo zipo ndani ya sheria na hata wao walifanya hivyo kuwakomoa CDM tu na hata kama asingekuwepo walishamnunua Kivuyo hivyo kura za CDM zingekuwa 14 kwa 15. Unaonaje na hapo?
unauhakika ccm wote wange wapigia wa ccm..kwa taarifa yako ndani ya ccm kuna wa madiwani wa wili wanao unga mkono cdm ndiyo maana hawataki uchaguzi ufanyike kwa haki...na wiki moja kabla ccm ili haha kuwatafuta madiwani wa cdm na cdm iliwaficha madiwani wake karibu wote
Hivyo walishindwa kufanikiwa azima yao
 
Utata huu ulipelekea kuomba ufafanuzi, na ufafanuzi ulipatikana kuwa mjumbe yule yaani Mary Chitanda alikuwa halali kwa maandishi na siyo mdomo kwa vyama vyote,

Ufafanuzi huu umeonekana siyp sahihi. Umechakachuliwa. Wapumbavu wanaukubali, werevu wanaukataa. But all the same, it remind me of storry of who will be the boss and finally an ass hole became a boss
 
Back
Top Bottom