Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,889
- 32,289
Usipokuwa muislamu lazima uwe mkristu?
Afadhali mfungo umeisha, biashara yangu ilikuwa inafanya vibaya sana. Thank God sasa hivi wanyama wangu wanatoka kama kawa.
Ha! Ha! Ha! Ha!, unataka kupangia watu eti usipokuwa mkiristo basi muislamu hizo nia akili za ukungu.
Mimi sio mkiristo wala muislamu mimi ni Pagan, ndio maana hata kwenye jukwaa la dini uwezi kuniona nabishana.
Na siwezi kwenda mpaka nakufa sababu mimi ni Pagan