Wanajamvi hamjambo? Mie napenda kusema ukweli hata kama nikiusema huo ukweli nitauawa! Dunia ni tambara bovu huwa haina mwenyeji hata kidogo! Ila kwa CCM kama chama tawala sii rahisi kwao kuamini kwamba watakua kama KANU ya Kenya iliyoasisiwa na KENYATTA Ila CCM wapende wasipende watafika huko KANU ilikoenda!
Pia ni lazima na wao wabadilike kama hawapendi kua kama KANU ya Kenya! Wabadilike kivipi? Ni lazima wabadilike kwa kutoa haki za msingi za raia wa Tanzania kabla uvumilivu haujawashinda zaidi ya hapa walipo!
Ikumbukwe kule Zambia na pia Senegal watu wake waliichoka serikali iliyopo madarakani na kuamua kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura ila kwa CCM ni vigumu wao kuukubali ukweli wa matokeo ya sanduku la kura! Ila sasa CCM itakataa kuukubali ukweli ila siku ya mwisho kabisa viongozi wake na waandamizi wake wote wanaweza kua kama BAGBO wa Ivory Cost au GADDAFI wa libya! Chondechonde kwa CCM muwe tayari kukubaliana na ukweli wa mambo la sivyo Tanzania inawezekana ikawa tanzania nyingine na sio hii ya sasa!
Kama chama kinatawala nchi , kina wabunge wengi bungeni halafu mnatuambia eti nchi yetu ni maskini bila sababu ya msingi kwanini ni maskini halafu kwa upande mwingine hampo tayari kukubaliana na ukweli wa sanduku la kura sisi tuendelee kuwavumilia?
Ujumbe kwa watanzania ''NI HERI KUFA UKIPIGANIA HAKI KULIKO KUISHI BILA MATUMAINI!'' ikumbukwe hawa viongozi wetu wa serikali yaani CCM wanatumia udhaifu wetu wa kutodai haki zetu wanajifaidisha na ndio maana wanatuita sisi maskini, je taifa lingekua maskini lingewasomesha wao na mpaka sasa wanakua na maono ya kutambua kuwa sisi watz ni maskini! Ila siku zote hazilingani ipo siku itakayokua na historia mbaya kwa hawa CCM.
PIA WANAJAMVI IKUMBUKWE BILA KUFA WA WATZ KADHAA HAKI HAITAPATIKANA HATA KIDOGO, TUCHUKULIE MFANO MZURI WA NCHI YA KENYA KTK UCHAGUZI WA MWAKA 2007; BAADA YA MATOKEO KUTANGAZWA NA WAKENYA KUHISI HAWAJATENDEWA HAKI WALICHUKUA HATUA THEN FAIDA YAKE SASA NI KWAMBA WAKENYA HAO SASA WANA KATIBA AMBAYO INAMLINDA RAIA NA SIO KIONGOZI , KWA MFANO NAIBU JAJI WA MAHAKAMA KUUKUBALI KENYA KWA JINA ''NANZ BARAZA'' ALIMTISHIA MLINZI WA SUPERMARKET MOJA NA MLINZI HUYO ALIPORIPOTI KISA HICHO HUYO NAIBU JAJI ALIAMBIWA AJIUZULU NA AKAJIUZULU ! Sasa hiyo ni mojawapo ya faida ya kupoteza wachache ktk nchi inayokombolewa kutoka ktk mikono ya wahujumu uchumi na mafisadi! Wachache hao naweza kua mimi au wewe, tuwe tayari kwa mabadiliko tusikubali kuudhalilisha utu wetu wa Mtz kwa kuwakumbatia na kuwaheshimu mafisadi! Nawasilisha!!!!!!!
Pia ni lazima na wao wabadilike kama hawapendi kua kama KANU ya Kenya! Wabadilike kivipi? Ni lazima wabadilike kwa kutoa haki za msingi za raia wa Tanzania kabla uvumilivu haujawashinda zaidi ya hapa walipo!
Ikumbukwe kule Zambia na pia Senegal watu wake waliichoka serikali iliyopo madarakani na kuamua kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura ila kwa CCM ni vigumu wao kuukubali ukweli wa matokeo ya sanduku la kura! Ila sasa CCM itakataa kuukubali ukweli ila siku ya mwisho kabisa viongozi wake na waandamizi wake wote wanaweza kua kama BAGBO wa Ivory Cost au GADDAFI wa libya! Chondechonde kwa CCM muwe tayari kukubaliana na ukweli wa mambo la sivyo Tanzania inawezekana ikawa tanzania nyingine na sio hii ya sasa!
Kama chama kinatawala nchi , kina wabunge wengi bungeni halafu mnatuambia eti nchi yetu ni maskini bila sababu ya msingi kwanini ni maskini halafu kwa upande mwingine hampo tayari kukubaliana na ukweli wa sanduku la kura sisi tuendelee kuwavumilia?
Ujumbe kwa watanzania ''NI HERI KUFA UKIPIGANIA HAKI KULIKO KUISHI BILA MATUMAINI!'' ikumbukwe hawa viongozi wetu wa serikali yaani CCM wanatumia udhaifu wetu wa kutodai haki zetu wanajifaidisha na ndio maana wanatuita sisi maskini, je taifa lingekua maskini lingewasomesha wao na mpaka sasa wanakua na maono ya kutambua kuwa sisi watz ni maskini! Ila siku zote hazilingani ipo siku itakayokua na historia mbaya kwa hawa CCM.
PIA WANAJAMVI IKUMBUKWE BILA KUFA WA WATZ KADHAA HAKI HAITAPATIKANA HATA KIDOGO, TUCHUKULIE MFANO MZURI WA NCHI YA KENYA KTK UCHAGUZI WA MWAKA 2007; BAADA YA MATOKEO KUTANGAZWA NA WAKENYA KUHISI HAWAJATENDEWA HAKI WALICHUKUA HATUA THEN FAIDA YAKE SASA NI KWAMBA WAKENYA HAO SASA WANA KATIBA AMBAYO INAMLINDA RAIA NA SIO KIONGOZI , KWA MFANO NAIBU JAJI WA MAHAKAMA KUUKUBALI KENYA KWA JINA ''NANZ BARAZA'' ALIMTISHIA MLINZI WA SUPERMARKET MOJA NA MLINZI HUYO ALIPORIPOTI KISA HICHO HUYO NAIBU JAJI ALIAMBIWA AJIUZULU NA AKAJIUZULU ! Sasa hiyo ni mojawapo ya faida ya kupoteza wachache ktk nchi inayokombolewa kutoka ktk mikono ya wahujumu uchumi na mafisadi! Wachache hao naweza kua mimi au wewe, tuwe tayari kwa mabadiliko tusikubali kuudhalilisha utu wetu wa Mtz kwa kuwakumbatia na kuwaheshimu mafisadi! Nawasilisha!!!!!!!