Habari za wakati wadau wa elimu.Naomba kuuliza JE,watakaofanya mtihani wa kidato cha sita mwaka 2012 watatumia silabasi za zamani au mpya?JE,Silabasi mpya inapatikana wapi?Naomba kama kuna mtu anayo anipe ya History ,Kiswahili na English.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.